KUNDI LA 50 CENT LADAIWA KUIBA SAA NA MKUFU WA SH. MILIONI 496
Rappa 50 Cent akiwa katika pozi na Mayweather. MWANAMUZIKI (rapper) 50 Cent wa nchini Marekani na kundi lake wamedaiwa kutumia bastola kumtishia muuza vito na kumwibia saa aina ya Rolex na mkufu wenye thamani ya Sh. Milioni 496 wakati wa pambano la mabondia Mayweather na Pacquiao lililiofanyika hivi karibuni huko Las Vegas. Sehemu ya vitu vinavyodaiwa kuibiwa na kundi la 50 Cent. Robert Marin, mmiliki wa duka la vito la LAX...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Jan
Kundi la P-Unit ladaiwa kuvunjika, members wake waanza kufanya project binafsi
11 years ago
Mwananchi17 May
Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni
9 years ago
Bongo512 Oct
Ni kweli zimeisha? 50 Cent anauuza mjengo wake kwa dola milioni 8.5!
9 years ago
Bongo517 Oct
Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku
10 years ago
MichuziKundi la”WAKALI SISI”latimka na Milioni 5 za shindano la Dance100% 2014
10 years ago
Bongo505 Oct
Kundi la ‘WAKALI SISI’ latimka na milioni 5 za shindano la Dance100% 2014
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200..
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai. Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye thamani ya dola milioni 1 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 200. Saa hiyo aina ya Hublot ndio saa ghali zaidi duniani kwa sasa. […]
The post Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPLKUNDI LA”WAKALI SISI” LATIMKA NA MILIONI 5 ZA SHINDANO LA DANCE100% 2014
11 years ago
Bongo516 Jul
Davido anunua saa ya dhahabu ‘Gold Rolex Sky-Dweller watch’ yenye thamani ya milioni 60