Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200..
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai. Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye thamani ya dola milioni 1 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 200. Saa hiyo aina ya Hublot ndio saa ghali zaidi duniani kwa sasa. […]
The post Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200.. appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Sep
Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s72-c/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s640/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s72-c/untitled.png)
Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.
Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s1600/untitled.png)
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani
10 years ago
BBCSwahili03 May
Floyd Mayweather amshinda Pacquiao
10 years ago
StarTV16 Apr
Floyd Mayweather afanya mazoezi hadharani.
Katika hali isiyotarajiwa bondia raia wa Marekani Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha ikiwa ni maandalizi kuelekea katika pambano lake dhidi ya bondia Manny Pacquiao raia wa Philippine.
Mayweather ambaye ni bingwa wa WBA na WBC, ameweka rekodi ya kucheza mapambano 47 ya kulipwa bila kupoteza hata moja wakati mpinzani wake amepigana mapambano 57, akiwa amepigwa mara tano na kutoka sare mara mbili.
Pambano kati ya wawili hao...
10 years ago
GPL15 Sep
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Floyd Mayweather amshinda Andre Berto
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Floyd Mayweather on Conor McGregor’s taunt: He’s a joke
Floyd Mayweather Jr. trains for his fight against Manny Pacquiao on May 2. (Getty)
When UFC fighter Conor McGregor said earlier this week he would “kill” boxing’s Floyd Mayweather in less than 30 seconds, more than a few people wrote it off as hyperbole – a bit of gamesmanship on the part of the vocal Irishman.
Mayweather once famously said, “I don’t know who he is,” when asked about the UFC’s Ronda Rousey. But apparently Mayweather heard McGregor’s jawing loud and clear – and Mayweather...