Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani

Bondia Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Floyd Mayweather afanya mazoezi hadharani.

Katika hali isiyotarajiwa bondia raia wa Marekani Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha ikiwa ni maandalizi kuelekea katika pambano lake dhidi ya bondia Manny Pacquiao raia wa Philippine.

Mayweather ambaye ni bingwa wa WBA na WBC, ameweka rekodi ya kucheza mapambano 47 ya kulipwa bila kupoteza hata moja wakati mpinzani wake amepigana mapambano 57, akiwa amepigwa mara tano na kutoka sare mara mbili.

Pambano kati ya wawili hao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Floyd Mayweather amshinda Pacquiao

Bondia wa Marekani Floyd Mayweather ameshinda pigano lililosubiri kwa wingi katika miongo kadhaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Floyd Mayweather amshinda Andre Berto

Floyd Mayweather amemshinda Andre Berto mjini Las Vegas kwa alama na kusisitiza kuwa hilo ndilo pigano lake la mwisho.

 

10 years ago

Dewji Blog

Floyd Mayweather on Conor McGregor’s taunt: He’s a joke

f08df6e0-e2ae-11e4-821f-b7380fa07382__MG_0073_FWFloyd Mayweather Jr. trains for his fight against Manny Pacquiao on May 2. (Getty)

When UFC fighter Conor McGregor said earlier this week he would “kill” boxing’s Floyd Mayweather in less than 30 seconds, more than a few people wrote it off as hyperbole – a bit of gamesmanship on the part of the vocal Irishman.

Mayweather once famously said, “I don’t know who he is,” when asked about the UFC’s Ronda Rousey. But apparently Mayweather heard McGregor’s jawing loud and clear – and Mayweather...

 

10 years ago

Bongo5

Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2

Pambano lililosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao hatimaye limethibitishwa rasmi kuwa litafanyika May 2 baada ya kipindi kirefu cha mazungumzo kati yao. Mafahari hao watazichapa kwenye ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas ambapo mgawano wa mapato utakuwa ni 60-40. Mayweather atachukua fedha nyingi zaidi. Makubaliano yaliyofikiwa ni pamoja na wote […]

 

10 years ago

TheCitizen

Floyd Mayweather fires back at 50 Cent over jibe

Unbeaten Floyd Mayweather fired back Wednesday at rap music star 50 Cent over his video taunt about the boxer’s reading skills, as a title rematch against Marcos Maidana looms.

 

10 years ago

Vijimambo

FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT

Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightMashabiki wa ngumi wakiwemo watu maarufu wakiingia MGM Grand Garden Arena lushuhudia mpambano wa ngumi uliokua umeiteka mitandao na Luninga za Dunia takribani miezi 3.Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightFloyd Mayweather Jr. akitupa konde la kushoto kwa Manny Pacquiaokwenye mpambano wao wa welterweight uliofanyika May pili, 2015 katika ukumbi wa MGM Grand Garden uliopo Las Vegas, NevadaFloyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightFloyd Mayweather Jr. akitupa konde la kushoto kwa Manny Pacquiao kwenye mpambano wao wa welterweight uliofanyika May pili, 2015 katika ukumbi wa...

 

10 years ago

GPL

FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI

Floyd Mayweather akipozi na mikanda yake baada ya kumchapa Manny Pacquiao kwa pointi. Mabondia hao wakitupiana masumbwi wakati wa mpambano huo. BONDIA wa Marekani, Floyd Mayweather amemchapa mpinzani wake raia wa Ufilipino, Manny Pacquiao kwa pointi katika mpambano wao wa karne uliopigwa Ukumbi wa GMG Grand jijini Las Vegas leo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani