Floyd Mayweather amshinda Andre Berto
Floyd Mayweather amemshinda Andre Berto mjini Las Vegas kwa alama na kusisitiza kuwa hilo ndilo pigano lake la mwisho.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Sep
Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mayweather kuzichapa na Andre Berto
10 years ago
BBCSwahili03 May
Floyd Mayweather amshinda Pacquiao
10 years ago
Vijimambo03 May
FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+jJ81WrLMzsml.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+46wSWXF9nTil.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+LLKkIfGhW6Cl.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 May
Wababe wa dunia:Floyd Mayweather amshinda Manny Pacquiao kwa pointi 6
Masumbwi ‘Mawe’ yalivyokuwa kwenye pambano hilo
Las Vegas, USA
Tayari Dunia imeshamtambua mbabe zaidi Duniani katika masumbwi ni nani, baada ya pambano la karne ambalo lilipewa ‘kiki’ kubwa duniani kote hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwa mabondia hapo kupambana mpaka raound 12, ambapo Mmarekani Floyd Mayweather aliibuka kuwa mshindi kwa pointi dhidi ya mshindani wake huyo kutoka Uphilipino. kwa mujibu wa majaji,Floyd alipata pointi 117 na Pacquiao kupata 111.
Msimamo wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani
10 years ago
StarTV16 Apr
Floyd Mayweather afanya mazoezi hadharani.
Katika hali isiyotarajiwa bondia raia wa Marekani Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha ikiwa ni maandalizi kuelekea katika pambano lake dhidi ya bondia Manny Pacquiao raia wa Philippine.
Mayweather ambaye ni bingwa wa WBA na WBC, ameweka rekodi ya kucheza mapambano 47 ya kulipwa bila kupoteza hata moja wakati mpinzani wake amepigana mapambano 57, akiwa amepigwa mara tano na kutoka sare mara mbili.
Pambano kati ya wawili hao...
10 years ago
GPL15 Sep
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Floyd Mayweather on Conor McGregor’s taunt: He’s a joke
Floyd Mayweather Jr. trains for his fight against Manny Pacquiao on May 2. (Getty)
When UFC fighter Conor McGregor said earlier this week he would “kill” boxing’s Floyd Mayweather in less than 30 seconds, more than a few people wrote it off as hyperbole – a bit of gamesmanship on the part of the vocal Irishman.
Mayweather once famously said, “I don’t know who he is,” when asked about the UFC’s Ronda Rousey. But apparently Mayweather heard McGregor’s jawing loud and clear – and Mayweather...