Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Floyd Mayweather amshinda Andre Berto

Floyd Mayweather amemshinda Andre Berto mjini Las Vegas kwa alama na kusisitiza kuwa hilo ndilo pigano lake la mwisho.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye

Bondia Floyd Mayweather amesisitiza kwa mara nyingine kuwa Andre Berto ndiye bondia wa mwisho kupigana naye katika pambano lao la Jumamosi. Mayweather amesema watu wengi wanafikiri tofauti kwamba atapigana tena. Pambano hilo la 49 ndilo litakuwa la mwisho kwake na anataka kushinda kubaki na rekodi yake ya kutopigwa daima katika ngumi za kulipwa. Andre Berto […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Mayweather kuzichapa na Andre Berto

Bingwa wa ndondi katika uzani wa Welter duniani Floyd Mayweather amesisitiza kuwa pigano lake kati yake na bingwa katika uzani huo Andre Berto litamwezesha kufikia rekodi iliowekwa na Rocky Marciano ya mapigano 49 bila kushindwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Floyd Mayweather amshinda Pacquiao

Bondia wa Marekani Floyd Mayweather ameshinda pigano lililosubiri kwa wingi katika miongo kadhaa.

 

10 years ago

Vijimambo

FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT

Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightMashabiki wa ngumi wakiwemo watu maarufu wakiingia MGM Grand Garden Arena lushuhudia mpambano wa ngumi uliokua umeiteka mitandao na Luninga za Dunia takribani miezi 3.Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightFloyd Mayweather Jr. akitupa konde la kushoto kwa Manny Pacquiaokwenye mpambano wao wa welterweight uliofanyika May pili, 2015 katika ukumbi wa MGM Grand Garden uliopo Las Vegas, NevadaFloyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao FightFloyd Mayweather Jr. akitupa konde la kushoto kwa Manny Pacquiao kwenye mpambano wao wa welterweight uliofanyika May pili, 2015 katika ukumbi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wababe wa dunia:Floyd Mayweather amshinda Manny Pacquiao kwa pointi 6

fight-8a_rnd_5_3289903bMasumbwi ‘Mawe’ yalivyokuwa kwenye pambano hilo

Las Vegas, USA

Tayari Dunia imeshamtambua mbabe zaidi Duniani katika masumbwi ni nani, baada ya pambano la karne ambalo lilipewa ‘kiki’ kubwa  duniani kote hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwa mabondia hapo kupambana mpaka raound 12, ambapo Mmarekani Floyd Mayweather aliibuka kuwa mshindi kwa pointi dhidi ya mshindani wake huyo kutoka Uphilipino. kwa mujibu wa majaji,Floyd alipata pointi 117 na Pacquiao kupata 111.

wattt_3289915bMsimamo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani

Bondia Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha.

 

10 years ago

StarTV

Floyd Mayweather afanya mazoezi hadharani.

Katika hali isiyotarajiwa bondia raia wa Marekani Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha ikiwa ni maandalizi kuelekea katika pambano lake dhidi ya bondia Manny Pacquiao raia wa Philippine.

Mayweather ambaye ni bingwa wa WBA na WBC, ameweka rekodi ya kucheza mapambano 47 ya kulipwa bila kupoteza hata moja wakati mpinzani wake amepigana mapambano 57, akiwa amepigwa mara tano na kutoka sare mara mbili.

Pambano kati ya wawili hao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Floyd Mayweather on Conor McGregor’s taunt: He’s a joke

f08df6e0-e2ae-11e4-821f-b7380fa07382__MG_0073_FWFloyd Mayweather Jr. trains for his fight against Manny Pacquiao on May 2. (Getty)

When UFC fighter Conor McGregor said earlier this week he would “kill” boxing’s Floyd Mayweather in less than 30 seconds, more than a few people wrote it off as hyperbole – a bit of gamesmanship on the part of the vocal Irishman.

Mayweather once famously said, “I don’t know who he is,” when asked about the UFC’s Ronda Rousey. But apparently Mayweather heard McGregor’s jawing loud and clear – and Mayweather...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani