Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku
Kundi maarufu la Uingereza la One Direction, huingiza pauni 19,000 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 62. Waimbaji hao waliopata mafanikio baada ya kuwa chini ya usimamizi wa Simon Cowell kupitia kipindi cha The X Factor mwaka 2010, huingiza kiasi hicho cha fedha kufuatia taarifa zao za fedha zilizochapishwa na Companies House. One […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele
![screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am1-300x194.png)
Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.
Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.
Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.
“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bYRAjZGTa2o/XtvKFR6rXsI/AAAAAAALs0Y/TPDhWS8crqAnwNeBRpz5TW1lKa-Nkdo_ACLcBGAsYHQ/s72-c/c1745ce8-bc6f-4b37-9580-1b8d8c78e404.jpg)
RC GAGUTI ATOA SIKU 7 KUREJESHWA KWA SHILINGI MILIONI 224.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bYRAjZGTa2o/XtvKFR6rXsI/AAAAAAALs0Y/TPDhWS8crqAnwNeBRpz5TW1lKa-Nkdo_ACLcBGAsYHQ/s640/c1745ce8-bc6f-4b37-9580-1b8d8c78e404.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d10d3d61-3985-48db-8dea-83ef225dda48.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/UpsKGvPjAgw/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Bunge lakodi vipaza sauti kwa Sh8.9 milioni kila siku
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
9 years ago
MichuziZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI