Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku

Kundi maarufu la Uingereza la One Direction, huingiza pauni 19,000 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 62. Waimbaji hao waliopata mafanikio baada ya kuwa chini ya usimamizi wa Simon Cowell kupitia kipindi cha The X Factor mwaka 2010, huingiza kiasi hicho cha fedha kufuatia taarifa zao za fedha zilizochapishwa na Companies House. One […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.

Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.

“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

5 years ago

Michuzi

RC GAGUTI ATOA SIKU 7 KUREJESHWA KWA SHILINGI MILIONI 224.


 Mkuu wa mkoa Kagera Brigedia Generali Marco Elisha Gaguti akihutubia baraza la madiwa wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo kwenye kikao cha kujadili hoja za mkaguzi na mthibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG zilizoibuliwa katika halmashauri hiyo.Mkuu wa mkoa Kagera Brigedia Generali Marco Elisha Gaguti akipitia nyalaka mbalimbali kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge lakodi vipaza sauti kwa Sh8.9 milioni kila siku

>Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la Maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

10 years ago

Raia Mwema

Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani