Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Wanawake 21 hufa kila siku wakati wa kujifingua
Idadi hiyo ikiongezeka, madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake wa Hospitali ya Muhimbili, wanasema kuwa vifo vya wajawazito bado msalaba mkubwa kwa Taifa.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-R-ViKV3j1qek1jkBtUaK0UU2c12LWGWiOLC1r*4Y47c1*2t0ak79csQIXLAkFBiH6CG-fbB5qS*e1DnWgf-j*7/lOVES.jpg)
KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?
Mungu ni mwema! Leo kama ada tunakutana mpenzi msomaji wangu wa Love & Life katika kilinge chetu hiki kwa lengo la kuelimishana na kukumbushana masuala ya mahusiano ambayo yametawala kwa kiasi kikubwa maisha yetu. Leo tutazungumzia kuhusu tatizo linaloonekana kukithiri na kuwatatiza watu wengi ambao wamejaribu kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kujikuta wakiambulia maumivu ya kuachwa kila mara na watu waliowakabidhi mioyo yao...
10 years ago
Habarileo17 Oct
'Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni'
WAKATI Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Bunge lakodi vipaza sauti kwa Sh8.9 milioni kila siku
>Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la Maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Serikali yetu imejaa kambare, kila mmoja ana masharubu
Nilipigwa na butwaa kusikia kuwa Kamati ya Bunge ya Bajeti wajumbe wake hulipwa Sh500,000, kwa kila kikao wanachoketi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Kila la heri binti yetu mpendwa zahara huko Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005*Shule Ya Sekondari Ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania