Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yetu imejaa kambare, kila mmoja ana masharubu

Nilipigwa na butwaa kusikia kuwa Kamati ya Bunge ya Bajeti wajumbe wake hulipwa Sh500,000, kwa kila kikao wanachoketi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DULLY: HAJAOA, ANA WATOTO WANNE, KILA MMOJA NA MAMA YAKE

Mwana muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes. Na Saphyna Mlawa
Dar es Salaam
UNAPOLITAJA jina la Dully Sykes katika ulimwengu wa Muziki wa Bongo Fleva hakuna shabiki wa muziki huo ambaye atasema hamfahamu kijana huyu aliyekulia mitaa ya Kariakoo na Ilala jijini Dar. Mtindo wake wa majivuno na kujisifia ni kati ya vitu vilivyomfanya achukiwe na wengi, hali ambayo mwenyewe aliiona kama sifa kubwa ambayo ilisababisha kujiita Mr...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kujenga barabara za mkoa mmoja mmoja

Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson LwengeSERIKALI imesema baada ya kukamilisha ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini, itashughulikia barabara za mkoa mmoja mmoja.

 

9 years ago

Raia Tanzania

‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’

ELIMU ndiyo ufunguo wa maisha, binadamu aliyekamilika hapa duniani ili awe kamili lazima awe na elimu ya mazingira yanayomzunguka, ndiyo maana vitabu vya Mungu vyote vinahimiza umuhimu wa elimu.

Unapoitaja elimu kwa muktadha wa wa mwanga katika jamii, unaongeza umuhimu wake kwa kila mwenye fursa ya kuipata bila kujali umri, hali ya kiuchumi na jinzia. Kumekuwepo na tatizo la watu waliopita umri wa kuanza shule ya msingi ambao ni miaka saba, serikali ikabaini hilo tatizo na kuanzisha...

 

9 years ago

GPL

KILA ALIYEJIANDIKISHA ANA WAJIBU WA KUPIGA KURA

Jaji Mstaafu, Damian Lubuva. Kwanza nimshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai leo na kujiona tuko katika nchi yetu iliyojaa amani. Naamini kwamba katika maeneo yote ya nchi, wazalendo wa nchi hii walijitokeza bila kulazimishwa kwenda kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura (BVR)kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25. Mkoa wa mwisho kuhitimisha rasmi kazi hiyo iliyoanza kwa kusuasua...

 

10 years ago

Michuzi

Kila la heri binti yetu mpendwa zahara huko Tabora


Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;

*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001

*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005

*Shule Ya Sekondari Ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YENYE MZOZO KILA SIKU MKE ANA KASORO - 2

Wiki iliyopita katika mada yetu tuliishia pale ambapo dada Mary alikuwa akizungumzia nafasi ya mke katika ndoa ambapo alisema ‘yeye kama yeye’ haamini kama anaweza kufanya jambo ambalo likamfanya mumewe achukue hatua ya kumpiga au kuzozana naye kwa vile anaijua nafasi yake katika ndoa.

Alisema: “Kujibizana na mume ndani ya nyumba ni kukosa heshima kwani mume ni kiongozi, huwezi kijibizana na kiongozi wako ndiyo maana Mungu alisema mke mwema hutoka kwake lakini hajasema popote kuhusu mume...

 

10 years ago

GPL

NDOA YENYE MZOZO KILA SIKU, MKE ANA KASORO!

NAFURAHI sana kukutana nanyi wapenzi wasomaji wangu wa safu hii inayozungumzia maisha ya mapenzi kwa ujumla. Wiki iliyopita tulikuwa na mada iliyokuwa na utambulisho usemao; Ni afadhali ukimfumania mumeo na demu mzuri kuliko anayepaka wanja wa ‘sina bwana?’Leo tuko na mada mpya; NYUMBA YENYE MZOZO KILA SIKU, MKE ANA KASORO. Sina nia mbaya ya kuwashambulia wanawake, bali najaribu kukumbusha majukumu ya kila mmoja ndani...

 

10 years ago

Bongo5

Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke

Jux amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Vanessa Mdee na kudai kuwa Vanessa ni mshikaji wake tu lakini amekiri kuwa muimbaji huyo wa ‘Come Over’ ana kila sifa ya kuwa mke. Jux ambaye hivi karibuni alionekana kuwa karibu na Vanessa amesema Vanessa ni mtu wake wa karibu anayefanya kazi naye. “No ni […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani