Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DULLY: HAJAOA, ANA WATOTO WANNE, KILA MMOJA NA MAMA YAKE

Mwana muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes. Na Saphyna Mlawa
Dar es Salaam
UNAPOLITAJA jina la Dully Sykes katika ulimwengu wa Muziki wa Bongo Fleva hakuna shabiki wa muziki huo ambaye atasema hamfahamu kijana huyu aliyekulia mitaa ya Kariakoo na Ilala jijini Dar. Mtindo wake wa majivuno na kujisifia ni kati ya vitu vilivyomfanya achukiwe na wengi, hali ambayo mwenyewe aliiona kama sifa kubwa ambayo ilisababisha kujiita Mr...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yetu imejaa kambare, kila mmoja ana masharubu

Nilipigwa na butwaa kusikia kuwa Kamati ya Bunge ya Bajeti wajumbe wake hulipwa Sh500,000, kwa kila kikao wanachoketi.

 

11 years ago

Michuzi

MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.

UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.  Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...

 

9 years ago

Michuzi

Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya


 Washatkiwa  wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Msangi akiwa na maafisa wake pamoj na Pembe za Faru walizokamatwa nazo  rai wanne wa China katika mpaka wa Kasumulu wilayani  Kyela mkoani Mbeya.Raia wanne wa China ambao wamehukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA

Na Karama Kenyunko,Michuzi TV

MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi  500,000 kila mmoja  ama kifungo cha miaka mitatu jela  kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito  gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100  kinyume na sheria.

Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard  Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Bongo5

Don’t Bother ya Joh Makini yamshika Mama yake Dully Sykes

Dully

Si vijana tu wanaopagawa na ngoma mpya ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA, ‘Don’t Bother.

Mama yake mzazi na Dully Sykes naye ni shabiki wa ngoma hiyo.

Akizungumza XXL ya Clouds FM, Dully alisema mama yake mara kwa mara amekuwa akijaribu kuuimba wimbo huo unaofanya vizuri kwa sasa.

“Mama yangu anapenda sana hip hop na sasa hivi anapenda sana na ananiimbiaga Don’t Brother,”alisema Dully.

“Don’t Brother ndio nyimbo yake ya Joh Makini. Mama yangu ni shabiki wa Hip hop, ni shabiki mkubwa wa...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA SASA KILA KITU NI MAMA YAKE

Stori: Laurent Samatta    
HATIMAYE diva wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa kali ya mwaka kwa kudai kuwa baada ya kutengana na mzazi mwezake sasa hapati tabu tena kwani mama yake mzazi amechukua nafasi hiyo na anampa mapenzi ya dhati ambayo hajawahi kupewa na mwanaume yeyote. Diva wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akizungumza na Uwazi, Rose alisema pamoja na kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu lakini hakuwahi kupata...

 

11 years ago

Michuzi

PROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH.9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA

Mgeni Rasmi Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka akimkabidhi zawadi ya Tsh 5,000,000 Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga kutoka Nansio Ukerewe Mwanza. Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga kutoka Nansio Ukerewe Mwanza akionesha zawadi yake ya Tsh 5,000,000 aliyokabidhiwa na Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka  Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akipokea zawadi ya Tsh 2,500,000...

 

11 years ago

GPL

PROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH 9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA‏

 Mkurugenzi mtendaji wa DMB ambao ndio wamiliki wa Shindano la Maisha Plus Masoud Ally 'Kipanya' akiwa anaendelea kuendesha ratiba wakati wa Sherehe fupi za Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kukabidhi zawadi kwa washindi wa Mama shujaa wa Chakula pamoja na washiriki wote wa Maisha Plus 2014.
 Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akifungua rasmi sherehe hiyo fupi ya utoaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani