ROSE NDAUKA SASA KILA KITU NI MAMA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mv4LkBQZrAR937GSKYu1zYUCAO7891VfoR3rVKiAos1*eL08g3*p0rAbN9OSWSBNhsqMtY-ZB20vsN9JW2VJXc/Ndauka.jpg?width=650)
Stori: Laurent Samatta   HATIMAYE diva wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa kali ya mwaka kwa kudai kuwa baada ya kutengana na mzazi mwezake sasa hapati tabu tena kwani mama yake mzazi amechukua nafasi hiyo na anampa mapenzi ya dhati ambayo hajawahi kupewa na mwanaume yeyote. Diva wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akizungumza na Uwazi, Rose alisema pamoja na kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu lakini hakuwahi kupata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lPGe8jxZgzI5OCI1X4ECX4eEg-HLxldP4qLn7IAnBX3V0dHqxsHlvow8LAIZo5Y1b-H-HaHwZ1kdEhozn9SPmU5/rose.jpg)
BABA: ROSE NDAUKA OLEWA SASA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbBpbRpjspcdKNWA2uPUeIXP0577uYLFjxQGAqM3OqLWbkIVbuptjhQexGivx3iOm2SGNK3HzUJoy*5F6ZD-jln/rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: TUMEMALIZA BIFU, SASA KAZI TU!
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Kenya sasa kila kitu ni Obama
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Rose Ndauka Awapasha Wanaofuatilia Maisha Yake...Kisa Namkasa? Picha Hizi!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Rose Ndauka ambae ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao ni “followers” wake kwenye mtandao wa Instagram ambao walimshambulia sana kwa maneno baada ya yeye kuweka picha hiyo hapo juu akiwa amekaa na “jamaa” huku amemfunika uso.
Chokochoko
Baadhi ya watu hao walichukulia kwamba huyu jamaa pichani ndio “PROJECT” mpya ya Rose hivyo wakaanza kumshabulia mwananadada Rose kwa maneno kuwa hajatulia na ndiomana aliachika kwa bwana,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPe*sjJcD37vWMe2zjrAo8eNqUpayJ2BXmlJ-OaM6CEFY9z0DN2CYLbCTPHgK6inUcrEFJ3CTqJm5GbirfsG9cP/WEWE8.jpg)
RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
![kamikaze](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kamikaze-300x194.jpg)
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DR. SLAA AIBUKA NA KUSEMA ATAWEKA KILA KITU HADHARANI MUDA WOTE KUANZIA SASA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Slaa-13August2015.jpg)
Katika siku za karibuni, Dk. Slaa amekuwa gumzo kutokana na kutoonekana katika shughuli mbalimbali za chama hicho pamoja na mikutano muhimu inayoitishwa na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Dk....
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE