ROSE NDAUKA: TUMEMALIZA BIFU, SASA KAZI TU!
Na Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa kwa sasa yeye na msanii mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ ambaye aliwahi kukwaruzana naye wameshamaliza na kujikita katika kazi zaidi. Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akichonga na paparazi wetu, Rose alisema wamerudi kwa staili ya tofauti kwani kila mmoja anafanya kazi zake lakini wanashirikishana na wana ‘project’...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBABA: ROSE NDAUKA OLEWA SASA!
10 years ago
GPLROSE NDAUKA SASA KILA KITU NI MAMA YAKE
9 years ago
Bongo Movies18 Sep
Rose Ndauka: Nilithamini Mapenzi Kuliko Kazi
KAMA kawaida yetu mpenzi msomaji wa kolamu hii tumekuwa tukikukutanisha na mastaa mbalimbali na kuweza kuwauliza maswali yanayohusu kazi zao na maisha yao ya kawaida nje ya sanaa.
Wiki hii tunaye staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka ambaye amefunguka mambo mbalimbali aliyoulizwa na wasomaji katika kolamu hii na kuyatolea ufafanuzi.
1.Msomaji: Nimekuwa nikisikia wasanii wengi wakilalamika kuwa, soko la filamu hapa Bongo bado halilipi wewe unalizungumziaje hilo na umenufaika vipi...
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Warioba:‘Tumemaliza kazi yetu’
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Hoseah: Tumemaliza kazi yetu escrow
11 years ago
GPLROSE, CHAZ BABA BIFU ZITO
10 years ago
GPLROSE NDAUKA HAKAMATIKI