Hoseah: Tumemaliza kazi yetu escrow
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Dk Edward Hoseah amesema taasisi yake imeshafanya kazi ya kuchunguza uchotaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Warioba:‘Tumemaliza kazi yetu’
Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge na kuponda ripoti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Joseph Warioba amesema jukumu walilopewa kwa mujibu wa sheria wamelikamilisha na wanawaachia wananchi waamue.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbBpbRpjspcdKNWA2uPUeIXP0577uYLFjxQGAqM3OqLWbkIVbuptjhQexGivx3iOm2SGNK3HzUJoy*5F6ZD-jln/rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: TUMEMALIZA BIFU, SASA KAZI TU!
Na Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa kwa sasa yeye na msanii mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ ambaye aliwahi kukwaruzana naye wameshamaliza na kujikita katika kazi zaidi. Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akichonga na paparazi wetu, Rose alisema wamerudi kwa staili ya tofauti kwani kila mmoja anafanya kazi zake lakini wanashirikishana na wana ‘project’...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mawaziri wa escrow hawatuhusu-Hoseah
Wakati wananchi wakisubiri vigogo wa serikalini na mawaziri wanaotuhumiwa kuhusika kwenye kashfa ya uchotaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow kufikishwa mbele ya vyombo vya umma, ni watumishi watano tu wa umma waliofikishwa mahakamani, lakini Mkurugenzi wa Takukuru, Dk Edward Hoseah ana jibu la suala hilo; kazi yao ni kufikisha mahakamani ‘vidagaa’.
10 years ago
TheCitizen04 Nov
Hoseah submits escrow account probe dossier
>The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has submitted to Prime Minister Mizengo Pinda its investigation report about the multibillion-shilling Tegeta escrow account, it was confirmed yesterday.
9 years ago
Bongo516 Dec
Magufuli amtimua kazi mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah
![hose](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/hose-300x194.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Escrow haituzuii watu wa mpira kujadili yetu
Sakata la escrow halijakwisha. Limetulia kusubiri utekelezaji wa mapendekezo ya Bunge.
9 years ago
Bongo512 Oct
Kufanya kazi nzuri ndio siri ya mafanikio yetu — Navy Kenzo
Wasanii wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreel na Aika wamesema hawajakutana na changamoto za kunyimwa msaada wa connection kutoka kwa wasanii wenzao kama wasanii wengine wanavyodai kukutana na changamoto hizo. Wakizungumza na Bongo5 kwa pamoja hivi karibuni, Aika alisema uwezo wao pamoja na juhudi, zimefanya wasaidiwe kiurahisi. “Sisi tulifanya kile kinachohitajika,” alisema Aika. “Tulienda the […]
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dRi-VPOm1ao/Xn97qNvNsvI/AAAAAAAAG_I/SnafW9ANZrAth8l0XSfDjX-0MdKFTAkKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HATUJATOA MAELEKEZO YA KUFUNGWA MINADA YETU,WATU WAENDELEE KUCHAPA KAZI-ULEGA
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Ofisa ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaani (TAMISEMI) wamewagiza wakurugenzi, watendaji wa mitaa na wakuu wawilaya zote nchini kuacha mara moja kufungia minada ya samaki na ile ya ng’ombekwa kisingizio cha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza jana,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega alisema msimamo wa serikali upopale pale haujazuiwa biashara ikiwemo minada ya samaki na wanyama na waliaonzakufungia minada hiyo kuacha mara moja...
Akizungumza jana,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega alisema msimamo wa serikali upopale pale haujazuiwa biashara ikiwemo minada ya samaki na wanyama na waliaonzakufungia minada hiyo kuacha mara moja...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s72-c/blogger-image-860968555.jpg)
MBEYA CITY COUNCIL F.C INAKARIBISHA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI NA CLUB YETU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s640/blogger-image-860968555.jpg)
I. Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club
II. Kuuza vifaa mbalimbali vya club
Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili
iweze kujijenga msingi imala ya mapato na hivyo kuiwezesha kuendesha
shughuli zake mbalimbali.
Mwombaji anatakiwa atimize masharti yafuatayo.
1. Awe na Leseni hai ya biashara husika
2. Awe amesajiliwa kama mlipa kodi
3. Maelezo ya kampuni yaani Company profile ikieleza aina ya kampuni au
biashara unayoifanya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania