Mawaziri wa escrow hawatuhusu-Hoseah
Wakati wananchi wakisubiri vigogo wa serikalini na mawaziri wanaotuhumiwa kuhusika kwenye kashfa ya uchotaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow kufikishwa mbele ya vyombo vya umma, ni watumishi watano tu wa umma waliofikishwa mahakamani, lakini Mkurugenzi wa Takukuru, Dk Edward Hoseah ana jibu la suala hilo; kazi yao ni kufikisha mahakamani ‘vidagaa’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Hoseah: Tumemaliza kazi yetu escrow
10 years ago
TheCitizen04 Nov
Hoseah submits escrow account probe dossier
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Escrow yapangua mawaziri 13
11 years ago
Mwananchi09 May
Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow
10 years ago
TheCitizen16 Jan
Hoseah: No one would be spared
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ripoti ya Hoseah yavuruga Bunge
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Magufuli amng’oa Hoseah Takukuru
>> Aponzwa na ufisadi wa TRA, Bandari
>> Zuio safari za nje laanza kung’ata
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah kwa kile alichodai mwenendo wa utendaji kazi wake hauendani na kasi yake anayoitaka.
Dk. Hoseah anakuwa kigogo wa 79 kutoka taasisi nne za umma ambao tayari wameonja machungu ya Serikali ya awamu ya tano na kaulimbiu yake ya ‘hapa kazi tu’.
Taarifa...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Hoseah ang’olewa Takukuru
RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Dk Edward Hoseah. Aidha, ameamuru kusimamishwa kazi kwa watumishi waandamizi wanne wa taasisi hiyo kwa kukiuka maagizo yake.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)