Escrow yapangua mawaziri 13
Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko 13 kwenye Baraza la Mawaziri yaliyohusisha mawaziri nane, manaibu watano, wakiwamo wapya wawili, ikiwa ni siku mbili kabla ya kuanza kwa Bunge, na ndani ya saa 48 kama gazeti hili lilivyoripoti Ijumaa iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mawaziri wa escrow hawatuhusu-Hoseah
11 years ago
Mwananchi09 May
Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow
10 years ago
Habarileo12 Aug
TFF yapangua Usajili
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesogeza tena mbele mwisho wa kufunga dirisha la usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara hadi Agosti 30 huku kila mchezaji kulipiwa faini ya Sh 500,000.
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serikali yapangua hoja za Zitto
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo.
MUHONGO(UTETEZI WA SERIKALI)
Anaomba radhi kama jana kulikuwa na usumbufu wa umeme na anawaagiza mameneja wote wa TANESCO wasikate umeme.
Anatoa pongezi juu ya mjadala wa Escrow, mengi yamesemwa na ni wakati wa kuanza mjadala kujua ukweli, Shukraan kwa CAG, TAKUKURU na PCCB kwa uchunguzi. Pia nawashukuru PAC, jana tulitulia kuwasikiliza PAC na leo tutulie tusikilize utetezi wangu.
Miaka ya 90 tulikuwa tuna upungufu wa umeme kutokana na...
11 years ago
GPLTFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA
10 years ago
Habarileo17 Jul
Chadema yapangua ratiba fomu za ubunge, udiwani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kupangua ratiba ya awali ya uchukuaji fomu za ubunge na udiwani kwa wanachama wake, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majimbo mapya 26 ya uchaguzi hivi karibuni.
9 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA