TFF yapangua Usajili
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesogeza tena mbele mwisho wa kufunga dirisha la usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara hadi Agosti 30 huku kila mchezaji kulipiwa faini ya Sh 500,000.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA
10 years ago
MichuziTAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Usajili wa Domayo waivuruga TFF
SIKU moja baada ya uongozi wa Azam FC kunyaka saini ya aliyekuwa kiungo wa Yanga, Frank Domayo ‘Chumvi’ akiwa kambini Tukuyu, Mbeya, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal...
11 years ago
Mwananchi02 May
TFF yachunguza usajili wa Domayo
10 years ago
Habarileo07 Aug
TFF yaongeza muda wa usajili
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.
11 years ago
GPLTFF yafuta usajili wa Domayo
11 years ago
GPLTFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Escrow yapangua mawaziri 13