TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF MUDA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s1600/images.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GWkgM2r_Xpc/VYvXo8v7wOI/AAAAAAAHj4I/cYv1L7Dgc3Q/s72-c/download.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA TFF LEO
VILABU VYATAKIWA KUWALIPIA KODI WALIMU NA WACHEZAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-GWkgM2r_Xpc/VYvXo8v7wOI/AAAAAAAHj4I/cYv1L7Dgc3Q/s1600/download.jpg)
Kamshina wa TRA ameliagiza Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kupitia kwa katibu mkuu wake kuwa, vilabu vyote vya mpira wa miguu nchini vinavyoajiri walimu, wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi wahakikishe wanaweka...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vlb8luX7qd8/U1D1yKhcfMI/AAAAAAAFboc/2qYRY1VsAlE/s72-c/download+(1).jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO Aprili 18, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vlb8luX7qd8/U1D1yKhcfMI/AAAAAAAFboc/2qYRY1VsAlE/s1600/download+(1).jpg)
Mechi zote saba zitachezwa kuanzia saa 10 kamili jioni ambapo Yanga na Simba zitakuwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mechi ambayo viingilio vyake ni sh. 5,000 kwa...
11 years ago
Michuzi17 Apr
TAARIFA KUTOKA TFF LEO Aprili 17, 2014
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni...
10 years ago
Habarileo07 Aug
TFF yaongeza muda wa usajili
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s72-c/IMG_2184.jpg)
TAARIFA KUTOKA TOKA TFF LEO Oktoba 5, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s1600/IMG_2184.jpg)
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inaingia kambini kwenye hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam ikiwa na kikosi cha wachezaji 26 walioitwa na Kocha Mart Nooij kwa ajili ya mechi hiyo...
11 years ago
Michuzi03 Feb