TAARIFA KUTOKA TFF LEO Aprili 18, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vlb8luX7qd8/U1D1yKhcfMI/AAAAAAAFboc/2qYRY1VsAlE/s72-c/download+(1).jpg)
PAZIA VPL LAFUNGWA, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inafikia tamati kesho (Aprili 19 mwaka huu) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani, huku mabingwa wapya Azam wakikabidhiwa kombe lao Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam katika mechi yao dhidi ya JKT Ruvu.
Mechi zote saba zitachezwa kuanzia saa 10 kamili jioni ambapo Yanga na Simba zitakuwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mechi ambayo viingilio vyake ni sh. 5,000 kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Apr
TAARIFA KUTOKA TFF LEO Aprili 17, 2014
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s72-c/IMG_2184.jpg)
TAARIFA KUTOKA TOKA TFF LEO Oktoba 5, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s1600/IMG_2184.jpg)
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inaingia kambini kwenye hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam ikiwa na kikosi cha wachezaji 26 walioitwa na Kocha Mart Nooij kwa ajili ya mechi hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
11 years ago
Michuzi02 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GWkgM2r_Xpc/VYvXo8v7wOI/AAAAAAAHj4I/cYv1L7Dgc3Q/s72-c/download.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA TFF LEO
VILABU VYATAKIWA KUWALIPIA KODI WALIMU NA WACHEZAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-GWkgM2r_Xpc/VYvXo8v7wOI/AAAAAAAHj4I/cYv1L7Dgc3Q/s1600/download.jpg)
Kamshina wa TRA ameliagiza Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kupitia kwa katibu mkuu wake kuwa, vilabu vyote vya mpira wa miguu nchini vinavyoajiri walimu, wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi wahakikishe wanaweka...
11 years ago
Michuzi03 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yFPmUSbCpFY/VZvANIKQ4TI/AAAAAAAHni0/DXmdmhedMl4/s72-c/images.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA TFF LEO JULAI 7, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-yFPmUSbCpFY/VZvANIKQ4TI/AAAAAAAHni0/DXmdmhedMl4/s640/images.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZbzUdndSBYc/Uu9-LRNhMvI/AAAAAAAFKpg/K4uSU5AUYaY/s72-c/TFF1.jpg)
TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 3, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZbzUdndSBYc/Uu9-LRNhMvI/AAAAAAAFKpg/K4uSU5AUYaY/s1600/TFF1.jpg)