TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI (TFF) LEO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-J1MzgAMe1m4/VWKhK55HcxI/AAAAAAAA-Eg/MIr6bEbSdQ4/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI ( TFF )
![](http://2.bp.blogspot.com/-J1MzgAMe1m4/VWKhK55HcxI/AAAAAAAA-Eg/MIr6bEbSdQ4/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF imeketi katika ukumbi uliopo makao makuu ya Shirikisho uwanja wa Karume.
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)
Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo haitakamilisha mchakato...
11 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Michuzi17 Jul
11 years ago
Michuzi11 Mar
11 years ago
Michuzi18 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
TAIFA STARS YAANZA MAZOEZI
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo...
![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s1600/index.jpg)
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s72-c/tff2.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
TWIGA STARS YAENDELEA KUJIFUA ZANZIBAR
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kinaendelea na mazoezi katika uwanja wa Amani na uwanja wa Mafunzo vilivyopo kisiwani Zanzibar. Twiga Stars iko kambini kisiwani Zanzibar kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofanyika nchini Congo- Brazzavile kuanzia Septemba 04 – 19 mwaka huu. Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage ameendelea kukinoa kikosi chake cha wachezaji 25 waliopo kambini kisiwani...
![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s1600/tff2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania