TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 3, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZbzUdndSBYc/Uu9-LRNhMvI/AAAAAAAFKpg/K4uSU5AUYaY/s72-c/TFF1.jpg)
MSHABIKI MBARONI KWA TUHUMA YA TIKETI FEKI
Mshabiki mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba iliyochezwa jana (Februari 2 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matei Cosmas (28) ambaye ni mkazi wa Buza Njiapanda Kitunda, Dar es Salaam amefunguliwa jalada namba CHA/IR/900/2014 kwenye Kituo cha Polisi Chang’ombe akidaiwa kupatikana na tiketi bandia.
Shirikisho la Mpira wa Miguu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jd2bhI_eChI/Uwcu_3LUHTI/AAAAAAAFOmE/lvWOiIzNPGE/s72-c/TFF1.jpg)
TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 21, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-jd2bhI_eChI/Uwcu_3LUHTI/AAAAAAAFOmE/lvWOiIzNPGE/s1600/TFF1.jpg)
Twiga Stars tayari ipo kambini kujiandaa kwa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10 kamili jioni. Twiga Stars chini ya Kocha Rogasian Kaijage inafanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Karume ambao ni wa nyasi za bandia kama ulivyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q7yM2sYFiC4/UwnQdON95rI/AAAAAAAFPAY/JyunHDK5tTo/s72-c/TFF1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jlI6Cp7KDtk/UvumNuKGVRI/AAAAAAAFMn4/o50K1whwjS4/s72-c/TFF1.jpg)
TAARIFA TOKA TFF LEOI Februari 12, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-jlI6Cp7KDtk/UvumNuKGVRI/AAAAAAAFMn4/o50K1whwjS4/s1600/TFF1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M480EhXqLoo/VJUr2yiCNFI/AAAAAAAG4l0/PmP1m0UYcd0/s72-c/download.jpg)
taarifa toka TFF leo Desemba 20,2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-M480EhXqLoo/VJUr2yiCNFI/AAAAAAAG4l0/PmP1m0UYcd0/s1600/download.jpg)
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Desemba 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za elektroniki.
Hivyo, Kamati hiyo imeiagiza Sekretarieti ya TFF kuwasiliana na benki ya CRDB inayoendesha mfumo huo wa matumizi ya tiketi za elektroniki kuhusu upungufu huo na kuhakikisha unafanyiwa kazi.
MAREKEBISHO YA KATIBA YA TFF
Kamati ya Utendaji ya TFF...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j2IeT5tiuUefPUOAr*u*C4UA*eK*naDvxjwjW3u89dAVaxJeE-HBCAXGvMt6yoAQJAritE0jIquj2X1*yXj0FNz/tff.jpg?width=512)
TAARIFA TOKA TFF LEO DESEMBA 20, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s72-c/IMG_2184.jpg)
TAARIFA KUTOKA TOKA TFF LEO Oktoba 5, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s1600/IMG_2184.jpg)
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inaingia kambini kwenye hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam ikiwa na kikosi cha wachezaji 26 walioitwa na Kocha Mart Nooij kwa ajili ya mechi hiyo...
11 years ago
Michuzi22 May
11 years ago
Michuzi17 Jul