TAARIFA TOKA TFF LEO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZbzUdndSBYc/Uu9-LRNhMvI/AAAAAAAFKpg/K4uSU5AUYaY/s72-c/TFF1.jpg)
TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 3, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZbzUdndSBYc/Uu9-LRNhMvI/AAAAAAAFKpg/K4uSU5AUYaY/s1600/TFF1.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M480EhXqLoo/VJUr2yiCNFI/AAAAAAAG4l0/PmP1m0UYcd0/s72-c/download.jpg)
taarifa toka TFF leo Desemba 20,2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-M480EhXqLoo/VJUr2yiCNFI/AAAAAAAG4l0/PmP1m0UYcd0/s1600/download.jpg)
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Desemba 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za elektroniki.
Hivyo, Kamati hiyo imeiagiza Sekretarieti ya TFF kuwasiliana na benki ya CRDB inayoendesha mfumo huo wa matumizi ya tiketi za elektroniki kuhusu upungufu huo na kuhakikisha unafanyiwa kazi.
MAREKEBISHO YA KATIBA YA TFF
Kamati ya Utendaji ya TFF...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jd2bhI_eChI/Uwcu_3LUHTI/AAAAAAAFOmE/lvWOiIzNPGE/s72-c/TFF1.jpg)
TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 21, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-jd2bhI_eChI/Uwcu_3LUHTI/AAAAAAAFOmE/lvWOiIzNPGE/s1600/TFF1.jpg)
Twiga Stars tayari ipo kambini kujiandaa kwa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10 kamili jioni. Twiga Stars chini ya Kocha Rogasian Kaijage inafanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Karume ambao ni wa nyasi za bandia kama ulivyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j2IeT5tiuUefPUOAr*u*C4UA*eK*naDvxjwjW3u89dAVaxJeE-HBCAXGvMt6yoAQJAritE0jIquj2X1*yXj0FNz/tff.jpg?width=512)
TAARIFA TOKA TFF LEO DESEMBA 20, 2014
MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Desemba 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za elektroniki.
Hivyo, Kamati hiyo imeiagiza Sekretarieti ya TFF kuwasiliana na benki ya CRDB inayoendesha mfumo huo wa matumizi ya tiketi za elektroniki kuhusu upungufu huo na kuhakikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s72-c/IMG_2184.jpg)
TAARIFA KUTOKA TOKA TFF LEO Oktoba 5, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-PaOOiRrV2VI/VDD-X8D_waI/AAAAAAAGoAM/Gh4KSOyvi5Y/s1600/IMG_2184.jpg)
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inaingia kambini kwenye hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam ikiwa na kikosi cha wachezaji 26 walioitwa na Kocha Mart Nooij kwa ajili ya mechi hiyo...
11 years ago
Michuzi17 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tkq652QT5m4/U5bOuBaTdNI/AAAAAAAFphA/m1LE4z-g9Ms/s72-c/Wallace-Karia.jpg)
TAARIFA TOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tkq652QT5m4/U5bOuBaTdNI/AAAAAAAFphA/m1LE4z-g9Ms/s1600/Wallace-Karia.jpg)
Uzinduzi wa kozi hiyo ya wiki mbili utafanywa leo (Juni 10 mwaka huu) saa 6 mchana kwenye hosteli za TFF zilizopo Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam.
Makocha zaidi ya 20 wenye Leseni C kutoka Tanzania Bara...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q7yM2sYFiC4/UwnQdON95rI/AAAAAAAFPAY/JyunHDK5tTo/s72-c/TFF1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania