Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usajili wa Domayo waivuruga TFF

SIKU moja baada ya uongozi wa Azam FC kunyaka saini ya aliyekuwa kiungo wa Yanga, Frank Domayo ‘Chumvi’ akiwa kambini Tukuyu, Mbeya, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TFF yafuta usajili wa Domayo

Kiungo mkabaji, Frank Domayo alipokuwa akisaini mkataba na timu ya Azam FC. Mohammed Mdose na Said Ally
MAMBO yanazidi kuwa mambo kwenye usajili wa Ligi Kuu Tanzania Bara! Wakati Azam FC ikiwa imejihakikishia kumtumia kiungo mkabaji, Frank Domayo kuanzia msimu wa 2014-2015, tamko zito limetolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya usajili huo. TFF imetoa tamko kuwa mpaka sasa bado haiutambua usajili wa kiungo huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yachunguza usajili wa Domayo

>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.

 

11 years ago

GPL

TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC

Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...

 

10 years ago

GPL

usajili wa Okwi waivuruga simba

Emmanuel Okwi. Waandishi Wetu,Dar es Salaam
HATIMAYE kigogo wa Simba, Zacharia Hans Poppe, ameamua kuzima utata uliokuwa ukienea katika ishu ya usajili wa mshambuliaji wao, Mganda, Emmanuel Okwi na kufafanua kuwa ameuzwa na si kwa majaribio kama taarifa zilizoenea hapo awali. Awali, kulikuwa na mkanganyiko wa taarifa mbili tofauti, ambapo nyingine zilisema Okwi ameuzwa huku nyingine zikikanusha kwamba anakwenda kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchunguzi usajili wa Domayo bado

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema linaendelea kusubiri ripoti kutoka kwa Wakili Wilson Ogunde aliyepewa jukumu la kuchunguza usajili wa kiungo Frank Domayo ‘Chumvi’ na kwamba hawatakurupuka kutoa uamuzi. TFF...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Maximo sajili ‘Domayo’ mpya’

>Nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Ally Yusuph ‘Tigana’ amemshauri kocha Marcio Maximo kumsajili kiungo mwenye uwezo wa Frank Domayo kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo.

 

11 years ago

TheCitizen

TFF to probe Domayo registration

>Plans are on for the Tanzania Football Federation (TFF) to investigate Mainland champions Azam FC for allegedly breaching registration regulations for players on national duty.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili la Domayo, TFF inapepesa

HIVI sasa tunashuhudia timu mbalimbali za soka zikijipanga kwa ajili ya msimu unaokuja, hususan Ligi Kuu Tanzania Bara na hata mashindano ya kimataifa kwa wale ambao wamekata tiketi za kuiwakilisha...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani