Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchunguzi usajili wa Domayo bado

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema linaendelea kusubiri ripoti kutoka kwa Wakili Wilson Ogunde aliyepewa jukumu la kuchunguza usajili wa kiungo Frank Domayo ‘Chumvi’ na kwamba hawatakurupuka kutoa uamuzi. TFF...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Usajili wa Domayo waivuruga TFF

SIKU moja baada ya uongozi wa Azam FC kunyaka saini ya aliyekuwa kiungo wa Yanga, Frank Domayo ‘Chumvi’ akiwa kambini Tukuyu, Mbeya, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yachunguza usajili wa Domayo

>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.

 

11 years ago

GPL

TFF yafuta usajili wa Domayo

Kiungo mkabaji, Frank Domayo alipokuwa akisaini mkataba na timu ya Azam FC. Mohammed Mdose na Said Ally
MAMBO yanazidi kuwa mambo kwenye usajili wa Ligi Kuu Tanzania Bara! Wakati Azam FC ikiwa imejihakikishia kumtumia kiungo mkabaji, Frank Domayo kuanzia msimu wa 2014-2015, tamko zito limetolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya usajili huo. TFF imetoa tamko kuwa mpaka sasa bado haiutambua usajili wa kiungo huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Maximo sajili ‘Domayo’ mpya’

>Nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Ally Yusuph ‘Tigana’ amemshauri kocha Marcio Maximo kumsajili kiungo mwenye uwezo wa Frank Domayo kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo.

 

11 years ago

GPL

TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC

Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...

 

9 years ago

Mwananchi

Usajili Yanga bado kiza

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm bado ana kigugumizi cha kufanya usajili katika kipindi hiki kutokana na klabu kukabiliwa na vikwazo vikubwa viwili.

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

11 years ago

GPL

Majanga Domayo majeruhi!

Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga. Na  Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya kujulikana kuwa Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga, imebainika kuwa kiungo huyo mkabaji ni majeruhi na kama akitoneshwa anaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Domayo ambaye kwa sasa yupo na Taifa Stars jijini Mbeya, amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya paja kwa muda mrefu na ikitokea akatoneshwa au...

 

11 years ago

Mwananchi

Baba wa Domayo afunguka

>Raymond Domayo, baba mzazi wa kiungo mkabaji Frank Domayo, amesema fedha nono ndiyo zilizomshawishi mwanaye atimkie Azam FC, hivyo amewataka viongozi na mashabiki wa Yanga wasimchukie badala yake wamuunge mkono.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani