Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA

Shabiki wa Simba akifurahi kwa kuonyesha Katiba ya Simba.   Mashabiki wa Simba wakionesha furaha yao klabuni Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo. Ilikuwa ni pata-shika nguo-kuchanika na pongezi motomoto kwa shujaa wao…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TFF yapangua Usajili

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesogeza tena mbele mwisho wa kufunga dirisha la usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara hadi Agosti 30 huku kila mchezaji kulipiwa faini ya Sh 500,000.

 

11 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA SIMBA WAANDAMANA NA KUFUNGA NJIA YA MSIMBAZI WAKITAKA WAMBURA ARUDISHWE KWENYE ORODHA YA WAGOMBEA

Mamia ya wapenzi na washabiki wa klabu kongwe ya mpira wa miguu hapa nchini Simba leo mchana wamejikusanya kwa wingi katika makao makuu ya klabu yao hiyo,kupinga Michael Wambura kuondolewa kwenye orodha ya wagombea kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.Wanachama hao ambao walizunguka jengo hilo na kutaka wapewe sababu za msingi kwanini Wambura ameondolewa huku wakitaka kufanya vurugu lakini vyombo vya usalama waliwahi kufika eneo la tukio na kuweza kuwatuliza wanachama Hao.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanachama wa Simba waandamana na kufunga njia za Msimbazi wakitaka Wambura arudishwe kwenye orodha ya wagombea

SAM_0445

Mashabiki wa Timu ya simba wakijikusanya nje ya jengo la klabu hiyo kongwe kupinga Wambura kuondolewa kwenye uchaguzi unakuja hivi karibuni.

SAM_0446

Hapa mashabiki wakizidi kujikusanya kwa wingi mchana huu.

SAM_0447

Wanachama wa Simba wakiwa wamelizunguka Jengo la klabu yao mchana huu kupinga kuondolewa kwa wambura kwenye uchaguzi wa klabu hiyo.

SAM_0448

Wanachama wa Simba wakipiga kelele nje ya jengo la klabu yao hiyo wakitaka wapewe ufafanuzi wa kina kwanini wambura ametolewa kwenye uchaguzi unaokuja.

SAM_0449

Mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtosa Wambura

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.

 

11 years ago

Daily News

Wambura case thorny for TFF


Daily News
Wambura case thorny for TFF
Daily News
THE riddle of the disqualified Simba SC presidential aspirant Michael Wambura proved hard to solve for the Election Appeals Committee of the Tanzania Football Federation (TFF), which once again failed to announce its ruling. For the second day, the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja za Wambura nzito TFF

HOJA 14 alizowasilisha mgombea aliyeenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, zimeonekana kuwa nzito katika Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura, Julio wapiga hodi TFF

MGOMBEA nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura na wa nafasi ya makamu rais, Jamhuri Kihwelo ‘Julio Alberto Tarantina Perreira’ wamepiga hodi Kamati ya Maadili ya Shirikisho la...

 

11 years ago

IPPmedia

TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll


IPPmedia
TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll
IPPmedia
The saga of the disqualified candidate Michael Wambura in the forthcoming Simba SC general election, scheduled for June 29, will be decided tomorrow by the Tanzania Football Federation (TFF). TFF Media Officer Boniface Wambura said in Dar es Salaam ...

 

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF

Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeikataa rufani ya  Michael Richard Wambura (pichani) kupinga kuenguliwa kugombea urais katika uchaguzi wa klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani