Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura, Julio wapiga hodi TFF

MGOMBEA nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura na wa nafasi ya makamu rais, Jamhuri Kihwelo ‘Julio Alberto Tarantina Perreira’ wamepiga hodi Kamati ya Maadili ya Shirikisho la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mipango miji wapiga hodi Jangwani

HATIMAYE wajumbe wa Baraza la Madiwani Manispaa ya Ilala jana walifanya ziara ya uhakiki wa eneo la Jangwani ambalo linamilikiwa na Klabu ya Yanga, mitaa ya Twiga na Jangwani, jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtosa Wambura

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja za Wambura nzito TFF

HOJA 14 alizowasilisha mgombea aliyeenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, zimeonekana kuwa nzito katika Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania...

 

11 years ago

Daily News

Wambura case thorny for TFF


Daily News
Wambura case thorny for TFF
Daily News
THE riddle of the disqualified Simba SC presidential aspirant Michael Wambura proved hard to solve for the Election Appeals Committee of the Tanzania Football Federation (TFF), which once again failed to announce its ruling. For the second day, the ...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: HODI, HODI ROCK CITY...TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA LEO JUMAPILI

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akikata utepe kuzindua safari hiyo  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akiondoa treni kwa kupunga benderaUongozi wa Kampuni  ya Reli Tanzania  –TRL unachukua  fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa ukanda  wa ziwa kuwa hatimaye ile huduma iliyokuwa ikisubiriwa leo Aprili 12 , 2015 inaelekea Mwanza ‘Rock City’ Ziwa Victoria!

Safari hii ni ya pili kwa vile ya uzinduzi iliyofanyika Aprili...

 

11 years ago

GPL

TFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA

Shabiki wa Simba akifurahi kwa kuonyesha Katiba ya Simba.   Mashabiki wa Simba wakionesha furaha yao klabuni Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo. Ilikuwa ni pata-shika nguo-kuchanika na pongezi motomoto kwa shujaa wao…

 

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF

Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeikataa rufani ya  Michael Richard Wambura (pichani) kupinga kuenguliwa kugombea urais katika uchaguzi wa klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...

 

11 years ago

IPPmedia

TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll


IPPmedia
TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll
IPPmedia
The saga of the disqualified candidate Michael Wambura in the forthcoming Simba SC general election, scheduled for June 29, will be decided tomorrow by the Tanzania Football Federation (TFF). TFF Media Officer Boniface Wambura said in Dar es Salaam ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hodi Hodi Brazil 2014, kumekucha!

Michuano ya kombe la dunia inang'oa nanga Brazil Alhamsi. Sura ya nchi hiyo imebadilika na hivi ndivyo mambo yalivyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani