TFF yamtosa Wambura
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Hoja za Wambura nzito TFF
HOJA 14 alizowasilisha mgombea aliyeenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, zimeonekana kuwa nzito katika Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania...
11 years ago
Daily News11 Jun
Wambura case thorny for TFF
Daily News
Daily News
THE riddle of the disqualified Simba SC presidential aspirant Michael Wambura proved hard to solve for the Election Appeals Committee of the Tanzania Football Federation (TFF), which once again failed to announce its ruling. For the second day, the ...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Wambura, Julio wapiga hodi TFF
MGOMBEA nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura na wa nafasi ya makamu rais, Jamhuri Kihwelo ‘Julio Alberto Tarantina Perreira’ wamepiga hodi Kamati ya Maadili ya Shirikisho la...
11 years ago
IPPmedia08 Jun
TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll
IPPmedia
IPPmedia
The saga of the disqualified candidate Michael Wambura in the forthcoming Simba SC general election, scheduled for June 29, will be decided tomorrow by the Tanzania Football Federation (TFF). TFF Media Officer Boniface Wambura said in Dar es Salaam ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uCLeOqk6kTg/U6MRBWATa5I/AAAAAAAFrzA/Ja-CfbhhA2k/s72-c/download.jpg)
RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF
![](http://2.bp.blogspot.com/-uCLeOqk6kTg/U6MRBWATa5I/AAAAAAAFrzA/Ja-CfbhhA2k/s1600/download.jpg)
Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...
11 years ago
GPLTFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCkEe73mDaQl85MAQ0CcAee38-aGaNz8scvPwvWKuEu2hbZxXg4jJxG7rK9cBZcQDLb1ZHehG*JYqTRP8kp7pJ8X/wa.gif?width=650)
Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF
10 years ago
Michuzi15 Oct
BONIFACE WAMBURA WA TFF AONGELEA MAANDALZI YA MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yamtosa shushushu