Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja za Wambura nzito TFF

HOJA 14 alizowasilisha mgombea aliyeenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, zimeonekana kuwa nzito katika Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wambura, Kaburu ngoma nzito

Wagombea Geofrey Nyange ‘Kaburu’ na Michael Wambura wamekalia kuti kavu kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba uliopangwa kufanyika Juni 29 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waibua hoja nane nzito

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetaja mambo nane yatakayosababisha Kura ya Maoni isipigwe Aprili 30 kama ilivyotangazwa na Rais Jakaya Kikwete, licha ya kazi ya kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Wapigakura kuendelea mkoani Njombe.

 

10 years ago

Habarileo

KUSAFISHWA MAWAZIRI : Wasomi watoa hoja nzito

Profesa Muhongo, amesafishwa na serikali ddhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili.WASOMI na wanasiasa wametoa hoja nzito na kupongeza uamuzi wa Tume ya Sekretarieti ya Maadili na Tume ya Uchunguzi ya Rais, kuwasafisha viongozi wakiwemo mawaziri.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtosa Wambura

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.

 

11 years ago

Daily News

Wambura case thorny for TFF


Daily News
Wambura case thorny for TFF
Daily News
THE riddle of the disqualified Simba SC presidential aspirant Michael Wambura proved hard to solve for the Election Appeals Committee of the Tanzania Football Federation (TFF), which once again failed to announce its ruling. For the second day, the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura, Julio wapiga hodi TFF

MGOMBEA nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura na wa nafasi ya makamu rais, Jamhuri Kihwelo ‘Julio Alberto Tarantina Perreira’ wamepiga hodi Kamati ya Maadili ya Shirikisho la...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni

Nakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi, mwalimu wa Kiswahili alikuwa akipendwa sana na wanafunzi na siri kubwa ilikuwa aina yake ya ufundishaji wake.

 

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF

Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeikataa rufani ya  Michael Richard Wambura (pichani) kupinga kuenguliwa kugombea urais katika uchaguzi wa klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...

 

11 years ago

IPPmedia

TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll


IPPmedia
TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll
IPPmedia
The saga of the disqualified candidate Michael Wambura in the forthcoming Simba SC general election, scheduled for June 29, will be decided tomorrow by the Tanzania Football Federation (TFF). TFF Media Officer Boniface Wambura said in Dar es Salaam ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani