Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUSAFISHWA MAWAZIRI : Wasomi watoa hoja nzito

Profesa Muhongo, amesafishwa na serikali ddhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili.WASOMI na wanasiasa wametoa hoja nzito na kupongeza uamuzi wa Tume ya Sekretarieti ya Maadili na Tume ya Uchunguzi ya Rais, kuwasafisha viongozi wakiwemo mawaziri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja za Wambura nzito TFF

HOJA 14 alizowasilisha mgombea aliyeenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, zimeonekana kuwa nzito katika Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waibua hoja nane nzito

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetaja mambo nane yatakayosababisha Kura ya Maoni isipigwe Aprili 30 kama ilivyotangazwa na Rais Jakaya Kikwete, licha ya kazi ya kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Wapigakura kuendelea mkoani Njombe.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC

WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

James Mbatia awachambua wasomi, wanaCCM, hoja za Muungano

 Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mbatia, jana amewashambua wajumbe waliowengi bungeni na wasomi, kwa kulipotosha taifa katika mchakato wa kupata Katiba Mpya kutokana na kutumia takwimu na taarifa zisizo sahihi na kufanya propaganda katika suala la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni

Nakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi, mwalimu wa Kiswahili alikuwa akipendwa sana na wanafunzi na siri kubwa ilikuwa aina yake ya ufundishaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuhuma nzito kwa mawaziri

 Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limedai kuwa baadhi ya mawaziri na manaibu wao wamekuwa wakilipwa posho za kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba hata wanapokuwa hawapo bungeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi watoa angalizo kwa wabunge

Wakati Bunge la Kumi na Moja likianza mkutano wake wa kwanza Dodoma kesho, wasomi na wachambuzi wa masuala ya siasa wametoa angalizo kwa wabunge wakisema wanatarajia kuona Bunge lililokomaa litakalokidhi matarajio ya Watanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi wamsifu JK kupangua mawaziri

Mhadhiri wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Ayoub RiobaMABADILIKO madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete sanjari na kujiuzulu kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kumeelezwa kuwa kumenusuru Bunge na msuguano usio na tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape abeza ushirikiano, wasomi watoa angalizo

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema hatua ya viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuingia katika makubaliano ya kushirikiana “ni kaburi la vyama hivyo.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani