Wasomi wamsifu JK kupangua mawaziri
MABADILIKO madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete sanjari na kujiuzulu kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kumeelezwa kuwa kumenusuru Bunge na msuguano usio na tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mbowe kupangua 'mawaziri’ bungeni
KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema anatarajia kuvunja na kuunda upya Baraza la Mawaziri Vivuli, litakaloshirikisha viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Wasomi waeleza sababu mawaziri kuanguka
10 years ago
Habarileo10 May
KUSAFISHWA MAWAZIRI : Wasomi watoa hoja nzito
WASOMI na wanasiasa wametoa hoja nzito na kupongeza uamuzi wa Tume ya Sekretarieti ya Maadili na Tume ya Uchunguzi ya Rais, kuwasafisha viongozi wakiwemo mawaziri.
10 years ago
Habarileo09 Mar
Kagame, Kenyatta wamsifu Kikwete
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.
11 years ago
Habarileo16 Apr
Madiwani wamsifu DED anayestaafu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa limesema bado linahitaji mchango wa Mkurugenzi wa halmashauri hiyo (DED), Bibie Mnyamagola ambaye anatarajia kustaafu Aprili 30, mwaka huu kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Bodi ya Ligi Kuu kupangua ratiba
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili
11 years ago
Michuzi25 Feb
GODFREY MGIMWA AANZA KUPANGUA MAKOMBORA YA CHADEMA ADAI YEYE NI RAIA MZALENDO WA TANZANIA
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amesema hana chembechembe yoyote ya uzungu na amekishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kumtuhumu kwamba sio mtanzania..
"Kama kila mtanzania anayekwenda nje ya nchi kusoma anapoteza...
9 years ago
Michuzi