Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili

Wabunge wamepongeza kitendo cha kuwasilishwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) vitanda 300, magodoro 300, viti vya magurudumu 30, blanketi 400 na mashuka 1,695 vilivyogharimu Sh251 milioni.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa

Baada ya kulihutubia na kulizindua bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI amehudhuria hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma na kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla hiyo zipelekwe Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa.
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...

 

9 years ago

Habarileo

Fedha za hafla zanunua vitanda 300 Muhimbili

FEDHA za hafla ya wabunge ambazo Rais John Magufuli aliagiza zipelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimewezesha kununua vitanda 300 vya wagonjwa.

 

9 years ago

Michuzi

Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...

 

10 years ago

Michuzi

UK Islamic NGO support Muhimbili Cardiac equipment worth 300,000USD

By Aminiel Aligaesha
The Muntada Aid which is an Islamic NGO based in UK has supported medical equipment to Muhimbili National Hospital (MNH) worth over 300,000 USD to save lives of children with congenital heart diseases. Speaking to the press in Dar es Salaam, the Acting Executive Director of MNH Dr. Hussein Kidanto said the equipment donated includes stents and other surgical devices.
He said with stent children with congenital heart diseases have undergone high tech procedures of...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

9 years ago

Mwananchi

Milioni 200 za Rais Magufuli zinaweza kununua vitanda 500

Sh200 milioni zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe ya uzinduzi wa Bunge zilizozuiwa kutumiwa na Rais John Magufuli zinaweza kununua vitanda vya wagonjwa 500.

 

5 years ago

CCM Blog

VIRUSI VYA CORONA VYATUA NCHINI KENYA

  Wizara ya Afya nchini Kenya  imeripoti kisa cha kwanza cha virusi vya ugonjwa wa corana . 
Kulingana na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, mgonjwa huyo raia wa Kenya alithibitishwa kuwa na virusi hivyo baada ya kurejea nchini  humo kutoka Marekani, Alhamisi, Machi 5. 
Amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH). Waziri ameripoti kuwa, mgonjwa huyo wa kike aliyejipeleka hospitali mwenyewe baada ya kuhisi maumivu anaendelea vizuri na matibabu na kwamba joto lake la mwili...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aitikisa Muhimbili

John+Magufuli+PHOTO*Uongozi wahaha siku za mapumziko

* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo   na viongozi wao kufanya kazi hadi  siku za mapumziko.

Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani