Magufuli aitikisa Muhimbili
*Uongozi wahaha siku za mapumziko
* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo na viongozi wao kufanya kazi hadi siku za mapumziko.
Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAGUFULI AITIKISA DAR LEO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mshakaji-akipiga-push-up-wakati-msafara-ukipita.jpg)
MAGUFULI AITIKISA MWANZA, HAIJAWAHI TOKEA!
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s640/_MG_5839.jpg)
MAGUFULI AITIKISA KATAVI, PINDA AMNADI KWA KISHINDO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s72-c/_MG_5839.jpg)
MAGUFULI AITIKISA KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA AMNADI KWA KISHINDO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s640/_MG_5839.jpg)
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-efUrTV6fNcU/VdsylP7T--I/AAAAAAAC97w/THZpRaEIwOA/s640/_MG_5819.jpg)
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Magufuli aifumua Muhimbili
*Amng’oa mkurugenzi mkuu, avunja bodi
*Asononeshwa wagonjwa kulala chini
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli, amemng’oa Kaimu Mkurugenzi wa Hopitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussen Kindato pamoja na kuvunja bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo.
Hatua hiyo ameichukua jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, ambapo alipofika alikagua maeneo yote, kutembelea wodi na kushuhudia idadi kubwa ya wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda.
Taarifa...
9 years ago
Habarileo10 Nov
Magufuli ashusha rungu Muhimbili
RAIS Dk John Magufuli ameanza kudhihirisha kuwa serikali yake haitakuwa na simile kwa watendaji wazembe baada ya jana kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) pamoja na kumuondoa madarakani Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Hussein Kidanto.
9 years ago
Habarileo12 Nov
Rais Magufuli asikika, MRI Muhimbili yatengamaa
MASHINE ya MRI iliyokuwa imeharibika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), sasa imeanza kufanya kazi baada ya kukamilika kwa matengenezo yake. Utengenezaji wa mashine hiyo ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli aliyoitoa kwa uongozi mpya wa MNH aliouteua, baada ya kutembelea hospitali hiyo hivi karibuni.
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Magufuli atimua bosi, avunja bodi Muhimbili
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/DK.-MAGUFULI-2.jpg?width=650)
RAIS MAGUFULI ATINGA MUHIMBILI GHAFLA, AONGEA NA WAGONJWA