Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli ashusha rungu Muhimbili

RAIS Dk John Magufuli ameanza kudhihirisha kuwa serikali yake haitakuwa na simile kwa watendaji wazembe baada ya jana kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) pamoja na kumuondoa madarakani Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Hussein Kidanto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mufti Simba ashusha rungu, ang’oa uongozi


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban  bn Simba, ametangaza kuung’oa uongozi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa na ule wa Quba jijini Arusha na kutangaza uongozi mpya.
Amesema uongozi huo, utakaa madarakani hadi pale atakapofanya mabadiliko mengine ikilazimika.
Kutangazwa kwa uongozi huo, kumetengua kitendaliwa cha muda mrefu kuhusu viongozi halali wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kwa wilaya ya Arusha na mkoa wa Arusha.
Kabla ya kutangaza uamuzi huo, Mufti...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli ashusha neema ya barabara Moshi

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli juzi alitangaza neema ya barabara katika Jimbo la Moshi Mjini baada ya kuombwa kufanya hivyo na mgombea ubunge wa jimbo hilo, Davis Mosha.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli ashusha maelekezo mashirika ya umma

RAIS John Magufuli ametoa maelekezo ya utendaji uliotukuka kwa wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma na watendaji ili kuhakikisha huduma zinazotolewa kwa wananchi zinakuwa bora na kuepuka matumizi ya ziada yasiyokuwa ya lazima.

 

9 years ago

Habarileo

Dk Magufuli afunika Moro, ashusha neema

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Serikali atakayoiongoza itajenga viwanda vikubwa, vya kati na vidogo ili kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku akiwaahidi wakazi wa Morogoro kufufua viwanda vyao.

 

9 years ago

Mtanzania

Rungu jipya la Magufuli

mtz1*Fagio la kupunguza wafanyakazi mashirika ya umma

*Posho za wabunge vikao vya bodi zapigwa marufuku

 

RUTH MNKENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

SERIKALI ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, imeshusha rungu jipya kwa kutangaza uamuzi mchungu wa kupunguza wafanyakazi katika taasisi na mashirika ya umma ambayo yameonekana kuwa mzigo katika utendaji.

Mashirika hayo yameelezwa licha ya kuwa na watumishi wengi, lakini bado uzalishaji na utendaji wake umekuwa hauna tija kwa taifa.

Hayo...

 

9 years ago

Mtanzania

Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa

Screen Shot 2015-07-16 at 8.18.52 PM*TRA yazuia makontena yake bandari kavu

*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.

Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu,  iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...

 

9 years ago

Mtanzania

TRA: Rais Magufuli ametupa rungu

4NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema kuanzia sasa inaanza kutekeleza agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuwakamata wafanyabiashara watakaokwepa kulipa kodi na kuwafikisha mbele ya vyombo vya dola.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema uamuzi wa kuwakamata wafanyabiashara ambao siku za nyuma walikuwa wakikingiwa kifua na watendaji wa Serikali, utaanza mara moja baada ya kupata baraka za Rais...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aitikisa Muhimbili

John+Magufuli+PHOTO*Uongozi wahaha siku za mapumziko

* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo   na viongozi wao kufanya kazi hadi  siku za mapumziko.

Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aifumua Muhimbili

04-IMG_7712*Amng’oa mkurugenzi mkuu, avunja bodi

*Asononeshwa wagonjwa kulala chini

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS John Magufuli, amemng’oa Kaimu Mkurugenzi wa Hopitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussen Kindato pamoja na kuvunja bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo.

Hatua hiyo ameichukua jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, ambapo alipofika alikagua maeneo yote, kutembelea wodi na kushuhudia idadi kubwa ya wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda.

Taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani