Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mufti Simba ashusha rungu, ang’oa uongozi


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban  bn Simba, ametangaza kuung’oa uongozi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa na ule wa Quba jijini Arusha na kutangaza uongozi mpya.
Amesema uongozi huo, utakaa madarakani hadi pale atakapofanya mabadiliko mengine ikilazimika.
Kutangazwa kwa uongozi huo, kumetengua kitendaliwa cha muda mrefu kuhusu viongozi halali wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kwa wilaya ya Arusha na mkoa wa Arusha.
Kabla ya kutangaza uamuzi huo, Mufti...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Magufuli ashusha rungu Muhimbili

RAIS Dk John Magufuli ameanza kudhihirisha kuwa serikali yake haitakuwa na simile kwa watendaji wazembe baada ya jana kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) pamoja na kumuondoa madarakani Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Hussein Kidanto.

 

9 years ago

Habarileo

Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.

 

9 years ago

Mwananchi

Rungu la TRA lageukia Simba, Yanga

‘Ukiona mwenzako akinyolewa, nawe tia maji,’ hicho ndicho kinachofuata kwa klabu kongwe za  soka nchini, Simba na Yanga baada ya Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kugeukia akaunti zao kutokana na wao kudaiwa pia.

 

10 years ago

Bongo Movies

Katibu wa Shirikisho la Filamu ang’olewa Uongozi, Alitaka kumng’oa Mwakifamba

Bodi ya  shirikisho la filamu hapa  nchini lamemuondoa taff  Bishop Hiluka kuwa katibu wa shirikisho hilo kwa kusuka mipango ya kumng’oa Rais Mwakifwamba

NI kikao kilichochukua zaidi ya saa nane kujadili agenda kadhaa lakini iliyoonyesha kuwa ni hatari na kuchukua muda wa wajumbe ilikuwa ni mikakati inayosemekana kusukwa na katibu Bishop Hiluka kutaka kumng’oa rais wa shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba, hatimaye Bodi kwa kupiga kura ikafikia muafaka kuwa katibu aachie ngazi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mufti Simba aonya Waislamu

SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kufuata amri na mafundisho sahihi ya dini hiyo ili kujiepusha na maovu. Mufti Simba alisema...

 

10 years ago

Mtanzania

Mufti Simba afariki dunia

simba 2NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaaban Issa bin Simba (78), amefariki dunia jana asubuhi katika Hosptali ya TMJ, jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho cha Mufti Simba ni pigo kubwa kwa Waislamu na taifa kwa ujumla.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, alisema kifo cha kiongozi huyo kimetokea huku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya TMJ.
Alisema Mufti Simba alikuwa akiugua kwa muda mrefu maradhi ya...

 

10 years ago

IPPmedia

Nation mourns Mufti Simba


Nation mourns Mufti Simba
IPPmedia
Tanzania's Chief Sheikh (Mufti), Issa Shaaban Bin Simba, died yesterday morning at the TMJ Hospital in Dar es Salaam where he was admitted for the last three days. He was being treated for diabetes and blood pressure related problems that he had ...
Sheikh Simba is dead; to be buried todayDaily News

all 2

 

10 years ago

Habarileo

Maelfu wamzika Mufti Simba

Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliyezikwa jana mkoani Shinyanga. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete, jana aliwaongoza maelfu ya wakazi wa Shinyanga na mikoa jirani, viongozi wa dini, Serikali na wanasiasa kumzika aliyekuwa Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Issa bin Shaaban Simba ,78, (pichani) aliyeaga dunia juzi jijini Dar es Salaam na kuzikwa jana jioni mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mufti Simba afariki kuzikwa Shinyanga

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti, Issa Shaaban Bin Simba amefariki dunia jana katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani