Nation mourns Mufti Simba
Nation mourns Mufti Simba
IPPmedia
Tanzania's Chief Sheikh (Mufti), Issa Shaaban Bin Simba, died yesterday morning at the TMJ Hospital in Dar es Salaam where he was admitted for the last three days. He was being treated for diabetes and blood pressure related problems that he had ...
Sheikh Simba is dead; to be buried todayDaily News
all 2
IPPmedia
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Jun
President leads the nation in mourning Mufti Simba’s death
10 years ago
Habarileo17 Jun
Maelfu wamzika Mufti Simba
RAIS Jakaya Kikwete, jana aliwaongoza maelfu ya wakazi wa Shinyanga na mikoa jirani, viongozi wa dini, Serikali na wanasiasa kumzika aliyekuwa Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Issa bin Shaaban Simba ,78, (pichani) aliyeaga dunia juzi jijini Dar es Salaam na kuzikwa jana jioni mjini hapa.
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Mufti Simba afariki dunia
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaaban Issa bin Simba (78), amefariki dunia jana asubuhi katika Hosptali ya TMJ, jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho cha Mufti Simba ni pigo kubwa kwa Waislamu na taifa kwa ujumla.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, alisema kifo cha kiongozi huyo kimetokea huku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya TMJ.
Alisema Mufti Simba alikuwa akiugua kwa muda mrefu maradhi ya...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mufti Simba aonya Waislamu
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kufuata amri na mafundisho sahihi ya dini hiyo ili kujiepusha na maovu. Mufti Simba alisema...
11 years ago
Mwananchi12 May
Tabora wampinga Mufti Sheikh Simba
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Mufti Simba afariki kuzikwa Shinyanga
10 years ago
TheCitizen23 Jun
Bakwata names acting mufti after Simba’s demise
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Sitta asiishie kwa Pengo, Mufti Simba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wawili wa dini za Kikiristo na Kiislamu nchini juzi. Viongozi hao aliokutana nao kwa nyakati...
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
Mufti Simba ashusha rungu, ang’oa uongozi
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bn Simba, ametangaza kuung’oa uongozi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa na ule wa Quba jijini Arusha na kutangaza uongozi mpya.
Amesema uongozi huo, utakaa madarakani hadi pale atakapofanya mabadiliko mengine ikilazimika.
Kutangazwa kwa uongozi huo, kumetengua kitendaliwa cha muda mrefu kuhusu viongozi halali wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kwa wilaya ya Arusha na mkoa wa Arusha.
Kabla ya kutangaza uamuzi huo, Mufti...