Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Makinda: Ninang’atuka

anne-makinda*Asema anafuata nyayo za Kikwete

*Ampisha Magufuli kuunda timu yake

 

Agatha Charles na Allen Msapi (GHI)

SPIKA wa Bunge la 10, Anne Makinda, jana alitangaza kustaafu wadhifa wake wa uspika kwa sababu ya umri kumtupa mkono.

Makinda alitangaza uamuzi huo katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Ofisi Ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam.

Alisema ameamua kustaafu wadhifa wa uspika kwa sababu ya umri wake kuwa mkubwa na pia kupisha damu changa za wanasiasa vijana kushika wadhifa...

 

11 years ago

BBCSwahili

William Hague wa UK ang'atuka

Waziri wa mambo ya nje wa UK William Hague anga'tuka,kwenye mabadiliko makubwa yaliyofanywa katika serikali ya Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka

Waziri mkuu wa Tunisia, Ali Larayedh, amejiuzulu ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kuendeleza mageuzi ya demokrasia nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa zamani Chadema Z’bar ang’atuka

Aliyekuwa naibu katibu mkuu wa Chadema, Hamad Mussa Yussuf amejiondoa kwenye chama hicho na kujiunga na ACT Tanzania, huku akisema muungano wa Ukawa upo zaidi kwa masilahi ya Tanzania Bara kuliko Zanzibar.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA

Charles James, Michuzi TVMBUNGE jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfried Lwakatare ang'atuka na kutoa kauli ya kutogombea tena katika Uchaguzi hapa nchini.
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Maina Owino ang’atuka Uenyekiti wa CCM tawi la Uingereza

owino

-BI. MARIAM  MUNGULA ASIMAMISHWA KAZI KATIBU WA TAWI 

Mwenyekiti wa CCM UK Ndugu Maina Ang’iela Owino(pichani) jana ametangaza rasmi nia yake ya kujiuzulu Uongozi wa CCM Tawi la UK baada ya kutumikia toka mwaka 2007.

Ndugu Owino alitoa uamuzi huo wa hiari wakati akifungua rasmi kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Tawi la UK kilichokaa jana Jumamosi tarehe 12/04/2014 katika jiji la Reading, Berkshire, Uingereza.

Ndugu Owino aliwakumbusha wajumbe kuwa awali aliomba kukitumikia Chama kwa muhula...

 

5 years ago

Michuzi

KIGOGO WA ACT WAZALENDO ANG'ATUKA, ARUSHA MAKOMBORA KWA ZITTO NA MAALIM SEIF


Charles James, Globu ya Jamii

KIMENUKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekua Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Yeremia Maganja kutangaza kukihama chama hicho kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho.

Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mufti Simba ashusha rungu, ang’oa uongozi


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban  bn Simba, ametangaza kuung’oa uongozi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa na ule wa Quba jijini Arusha na kutangaza uongozi mpya.
Amesema uongozi huo, utakaa madarakani hadi pale atakapofanya mabadiliko mengine ikilazimika.
Kutangazwa kwa uongozi huo, kumetengua kitendaliwa cha muda mrefu kuhusu viongozi halali wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kwa wilaya ya Arusha na mkoa wa Arusha.
Kabla ya kutangaza uamuzi huo, Mufti...

 

10 years ago

Bongo Movies

Katibu wa Shirikisho la Filamu ang’olewa Uongozi, Alitaka kumng’oa Mwakifamba

Bodi ya  shirikisho la filamu hapa  nchini lamemuondoa taff  Bishop Hiluka kuwa katibu wa shirikisho hilo kwa kusuka mipango ya kumng’oa Rais Mwakifwamba

NI kikao kilichochukua zaidi ya saa nane kujadili agenda kadhaa lakini iliyoonyesha kuwa ni hatari na kuchukua muda wa wajumbe ilikuwa ni mikakati inayosemekana kusukwa na katibu Bishop Hiluka kutaka kumng’oa rais wa shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba, hatimaye Bodi kwa kupiga kura ikafikia muafaka kuwa katibu aachie ngazi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani