Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maina Owino ang’atuka Uenyekiti wa CCM tawi la Uingereza

owino

-BI. MARIAM  MUNGULA ASIMAMISHWA KAZI KATIBU WA TAWI 

Mwenyekiti wa CCM UK Ndugu Maina Ang’iela Owino(pichani) jana ametangaza rasmi nia yake ya kujiuzulu Uongozi wa CCM Tawi la UK baada ya kutumikia toka mwaka 2007.

Ndugu Owino alitoa uamuzi huo wa hiari wakati akifungua rasmi kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Tawi la UK kilichokaa jana Jumamosi tarehe 12/04/2014 katika jiji la Reading, Berkshire, Uingereza.

Ndugu Owino aliwakumbusha wajumbe kuwa awali aliomba kukitumikia Chama kwa muhula...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CCM Blog

SALAAM ZA PONGEZI TOKA CCM TAWI LA UINGEREZA



"CCM TAWI LA UINGEREZA Linatoa Pongezi nyingi sana kwa ushindi mkubwa aliyopata mgombea wetu wa urais Dr. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na wabunge, madiwani na wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha ushindi huu mkubwa.

CHAMA CHA MAPINDUZI - UINGEREZA."

 

11 years ago

GPL

TAARIFA MUHIMU TOKA CCM TAWI LA UINGEREZA‏

  CCM TAWI LA UINGEREZA - UNITED KINGDOM Website ccmuk.org,Blog ccmuk.org/blog, Facebook page Chama Cha Mapinduzi Uingereza, twitter CCMUK1 Contacts Phone  +44 74 04 863333, +44 7545 213515 E-mail - itikadi-uenezi@ccmuk.org MAINA OWINO ANG'ATUKA UENYEKITI WA CCM TAWI LA UINGEREZA - UNITED…

 

11 years ago

BBCSwahili

William Hague wa UK ang'atuka

Waziri wa mambo ya nje wa UK William Hague anga'tuka,kwenye mabadiliko makubwa yaliyofanywa katika serikali ya Uingereza.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF


Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...

 

9 years ago

Habarileo

Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka

Waziri mkuu wa Tunisia, Ali Larayedh, amejiuzulu ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kuendeleza mageuzi ya demokrasia nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa zamani Chadema Z’bar ang’atuka

Aliyekuwa naibu katibu mkuu wa Chadema, Hamad Mussa Yussuf amejiondoa kwenye chama hicho na kujiunga na ACT Tanzania, huku akisema muungano wa Ukawa upo zaidi kwa masilahi ya Tanzania Bara kuliko Zanzibar.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA

Charles James, Michuzi TVMBUNGE jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfried Lwakatare ang'atuka na kutoa kauli ya kutogombea tena katika Uchaguzi hapa nchini.
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani