Kiongozi wa zamani Chadema Z’bar ang’atuka
Aliyekuwa naibu katibu mkuu wa Chadema, Hamad Mussa Yussuf amejiondoa kwenye chama hicho na kujiunga na ACT Tanzania, huku akisema muungano wa Ukawa upo zaidi kwa masilahi ya Tanzania Bara kuliko Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
William Hague wa UK ang'atuka
9 years ago
Habarileo14 Nov
Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Maina Owino ang’atuka Uenyekiti wa CCM tawi la Uingereza
-BI. MARIAM MUNGULA ASIMAMISHWA KAZI KATIBU WA TAWI
Mwenyekiti wa CCM UK Ndugu Maina Ang’iela Owino(pichani) jana ametangaza rasmi nia yake ya kujiuzulu Uongozi wa CCM Tawi la UK baada ya kutumikia toka mwaka 2007.
Ndugu Owino alitoa uamuzi huo wa hiari wakati akifungua rasmi kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Tawi la UK kilichokaa jana Jumamosi tarehe 12/04/2014 katika jiji la Reading, Berkshire, Uingereza.
Ndugu Owino aliwakumbusha wajumbe kuwa awali aliomba kukitumikia Chama kwa muhula...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w9YO2DUxUQM/XoRy1adPB2I/AAAAAAALlxg/iJQxPAlARt8nwbCDzUst1prW2Z_1TbedQCLcBGAsYHQ/s72-c/3784ef2b-c9dd-4b84-a09e-5f2742114b5e.jpg)
KIGOGO WA ACT WAZALENDO ANG'ATUKA, ARUSHA MAKOMBORA KWA ZITTO NA MAALIM SEIF
Charles James, Globu ya Jamii
KIMENUKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekua Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Yeremia Maganja kutangaza kukihama chama hicho kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho.
Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Kiongozi wa zamani wa Ujerumani afariki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVW6NPVMF9Vm3a41tJ156vkpxoerWhgYtL4nc7bbuIgMbVrpkhHm8Y2YL1ujTq-j-cVe*6yPE-8sghk3V7ZuY8in/njenga.jpg)
KIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kiongozi wa zamani Israel Ehud Olmert kufungwa jela