KIGOGO WA ACT WAZALENDO ANG'ATUKA, ARUSHA MAKOMBORA KWA ZITTO NA MAALIM SEIF
![](https://1.bp.blogspot.com/-w9YO2DUxUQM/XoRy1adPB2I/AAAAAAALlxg/iJQxPAlARt8nwbCDzUst1prW2Z_1TbedQCLcBGAsYHQ/s72-c/3784ef2b-c9dd-4b84-a09e-5f2742114b5e.jpg)
Charles James, Globu ya Jamii
KIMENUKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekua Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Yeremia Maganja kutangaza kukihama chama hicho kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho.
Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi...
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania