Makinda: Ninang’atuka
*Asema anafuata nyayo za Kikwete
*Ampisha Magufuli kuunda timu yake
Agatha Charles na Allen Msapi (GHI)
SPIKA wa Bunge la 10, Anne Makinda, jana alitangaza kustaafu wadhifa wake wa uspika kwa sababu ya umri kumtupa mkono.
Makinda alitangaza uamuzi huo katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Ofisi Ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam.
Alisema ameamua kustaafu wadhifa wa uspika kwa sababu ya umri wake kuwa mkubwa na pia kupisha damu changa za wanasiasa vijana kushika wadhifa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Nov
Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.
10 years ago
Habarileo01 Sep
Mbunge: Nang'atuka
MBUNGE wa Chilonwa mkoani Dodoma, Ezekiah Chibulunje (CCM) amemweleza Rais Jakaya Kikwete azma yake ya kutogombea ubunge uchaguzi ujao. “Nilishatangaza nia ya kustaafu, nashukuru sana kwa heshima uliyonipa kwa nafasi ya wizara mbalimbali kwa miaka 10 mfululizo,” alisema Chibulunje.
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
William Hague wa UK ang'atuka
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mbunge Dodoma kung'atuka
MBUNGE wa Chilonwa, Hezekiah Chibulunje (CCM), ametangaza kutogombea tena ubunge wa jimbo hilo mwakani baada ya kulitumikia kwa miaka 20 mfululizo.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Nyambui ataka kung’atuka RT
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Sejusa: Museveni ajiandae kung'atuka
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Wenger atangaza kung’atuka 2017
10 years ago
Vijimambo29 Sep
IGP ERNEST MANGU NINGENG’ATUKA
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg*NojYLwn9tye1vVy90OFeV0Gny3mOwBsbY9PwLJv1rMOcLqB23zEvmwnCEgsUuVxAiIgV5JKsVtiMO3RjBovwT/IGP_ErnestMangu5.jpg?width=650)
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka