Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda: Ninang’atuka

anne-makinda*Asema anafuata nyayo za Kikwete

*Ampisha Magufuli kuunda timu yake

 

Agatha Charles na Allen Msapi (GHI)

SPIKA wa Bunge la 10, Anne Makinda, jana alitangaza kustaafu wadhifa wake wa uspika kwa sababu ya umri kumtupa mkono.

Makinda alitangaza uamuzi huo katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Ofisi Ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam.

Alisema ameamua kustaafu wadhifa wa uspika kwa sababu ya umri wake kuwa mkubwa na pia kupisha damu changa za wanasiasa vijana kushika wadhifa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda ameamua kung’atuka uongozi wa kisiasa baada ya kutumikia nafasi hizo kwa miaka 40.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge: Nang'atuka

MBUNGE wa Chilonwa mkoani Dodoma, Ezekiah Chibulunje (CCM) amemweleza Rais Jakaya Kikwete azma yake ya kutogombea ubunge uchaguzi ujao. “Nilishatangaza nia ya kustaafu, nashukuru sana kwa heshima uliyonipa kwa nafasi ya wizara mbalimbali kwa miaka 10 mfululizo,” alisema Chibulunje.

 

11 years ago

BBCSwahili

William Hague wa UK ang'atuka

Waziri wa mambo ya nje wa UK William Hague anga'tuka,kwenye mabadiliko makubwa yaliyofanywa katika serikali ya Uingereza.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge Dodoma kung'atuka

MBUNGE wa Chilonwa, Hezekiah Chibulunje (CCM), ametangaza kutogombea tena ubunge wa jimbo hilo mwakani baada ya kulitumikia kwa miaka 20 mfululizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyambui ataka kung’atuka RT

Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amemtaka mtu yeyote anayeweza kuongoza chama hicho ajitokeze ili yeye ang’atuke na kumwachia madaraka.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sejusa: Museveni ajiandae kung'atuka

Bregedia muasi wa jeshi la Uganda UPDF, Generali David Sejusa amezindua chama chake cha kisiasa nchini Uingereza na kutoa onyo kali kwa Rais Yoweri Museveni

 

9 years ago

Mwananchi

Wenger atangaza kung’atuka 2017

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ametikisa kiberiti kwenye klabu hiyo ya London Kaskazini akieleza kuwa anafikiria kuiacha ifikapo 2017.

 

10 years ago

Vijimambo

IGP ERNEST MANGU NINGENG’ATUKA

Kwako Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu.Ni matumaini yangu kwamba hunifahamu na sitegemei kama kuna mazingira yanayoweza kunikutanisha nawe ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako.Mimi si mtoto wa Mzee Jumbe Mangu na mama Mwanaidi Msengi kama wewe. Sikuzaliwa mwaka 1959 kwenye Kijiji cha Kihunadi, Tarafa ya Ilongero mkoani Singida wala sikusoma Shule ya Sekondari ya Tumaini kama wewe! Mimi ni raia wa kawaida tu, mlala hoi.Nakuhakikishia kuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka

Waziri mkuu wa Tunisia, Ali Larayedh, amejiuzulu ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kuendeleza mageuzi ya demokrasia nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani