Nyambui ataka kung’atuka RT
Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amemtaka mtu yeyote anayeweza kuongoza chama hicho ajitokeze ili yeye ang’atuke na kumwachia madaraka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mbunge Dodoma kung'atuka
MBUNGE wa Chilonwa, Hezekiah Chibulunje (CCM), ametangaza kutogombea tena ubunge wa jimbo hilo mwakani baada ya kulitumikia kwa miaka 20 mfululizo.
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Wenger atangaza kung’atuka 2017
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Sejusa: Museveni ajiandae kung'atuka
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Fifa: Sepp Blatter kung’atuka Desemba
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
JK: Mfumo wa Rais kung’atuka madarakani ni mzuri
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro).
. Unatoa nafasi kwa nchi kupata mawazo na fikra mpya
.Anaamini Tanzania itapata Rais bora zaidi wa kumrithi yeye
. Atamani muda wake umalizike akalee wajukuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa mfumo...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kocha aliyefutwa kazi akataa kung'atuka
9 years ago
Vijimambo20 Oct
JK akumbushwa kutangaza mali alizochuma kabla ya kung'atuka.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jakaya-20Octboer.png)
“Rais Kikwete alijaza fomu ya mali alizokuwa nazo Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, lakini hakutangaza. Tunasubiri kuona sasa baada ya kumaliza atatangaza mali aliyopata akiwa madarakani,” alisema.
Alisema mwaka 1995, Rais mstaafu,...
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mbatia.jpg?resize=702%2C336)
Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...
11 years ago
TheCitizen03 May
Nyambui says Sekilu is a liar