Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aifumua Muhimbili

04-IMG_7712*Amng’oa mkurugenzi mkuu, avunja bodi

*Asononeshwa wagonjwa kulala chini

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS John Magufuli, amemng’oa Kaimu Mkurugenzi wa Hopitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussen Kindato pamoja na kuvunja bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo.

Hatua hiyo ameichukua jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, ambapo alipofika alikagua maeneo yote, kutembelea wodi na kushuhudia idadi kubwa ya wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda.

Taarifa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aifumua Ikulu

Magufuli+PHOTO*Aipanga upya kwa kupunguza ofisi, watendaji

*Afuta kitengo cha lishe cha rais, dawati la wageni

NA MWANDISHI WETU

RAIS John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.

Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka ndani ya Ikulu zimeeleza kuwa Rais Magufuli alianza kufanya ukaguzi wa ofisi moja baada ya nyingine zilizo Ikulu huku akitaka...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aitikisa Muhimbili

John+Magufuli+PHOTO*Uongozi wahaha siku za mapumziko

* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo   na viongozi wao kufanya kazi hadi  siku za mapumziko.

Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli ashusha rungu Muhimbili

RAIS Dk John Magufuli ameanza kudhihirisha kuwa serikali yake haitakuwa na simile kwa watendaji wazembe baada ya jana kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) pamoja na kumuondoa madarakani Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Hussein Kidanto.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli atimua bosi, avunja bodi Muhimbili

Rais John Magufuli jana alifanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ambako alishuhudia utoaji mbovu wa huduma na kuchukua hatua ya kuvunja Bodi ya Wakurugenzi ya hospitali hiyo na kumuondoa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk Hussein Kidanto.

 

9 years ago

Habarileo

Rais Magufuli asikika, MRI Muhimbili yatengamaa

MASHINE ya MRI iliyokuwa imeharibika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), sasa imeanza kufanya kazi baada ya kukamilika kwa matengenezo yake. Utengenezaji wa mashine hiyo ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli aliyoitoa kwa uongozi mpya wa MNH aliouteua, baada ya kutembelea hospitali hiyo hivi karibuni.

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli, mazito yaibuka

HANDAKI
Chacha Makenge.

NA MWANDISHI WETU, Uwazi
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli na wiki iliyopita kudai amelazwa chini, Chacha Makenge, amesababisha mapya kuibuka.

Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, maofisa uhusiano wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi), Frank Matua na Patrick Mvungi kwa nyakati tofauti, walisema kuwa, mgonjwa huyo hakuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili

Wabunge wamepongeza kitendo cha kuwasilishwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) vitanda 300, magodoro 300, viti vya magurudumu 30, blanketi 400 na mashuka 1,695 vilivyogharimu Sh251 milioni.     

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli alazwa chini

IMG-20151227-WA0001
Chacha Makenge akiwa amelazwa chini kwenye hospitali ya Muhimbili.

Chande Abdallah na Deogratius Mongela, UWAZI
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa aliyeibua ubovu wa mtambo ya CT Scan na mashine ya MRI kwa Rais John Pombe Magufuli, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, Chacha Makenge (pichani)amekutwa na Uwazi akiwa amelala sakafuni wodini.

Desemba 25, mwaka huu, Uwazi lilifika hospitalini hapo Jengo la Sewa Haji wodi namba 18 na kumshuhudia Chacha amelalia mashuka aliyoyatandika chini huku...

 

9 years ago

IPPmedia

Muhimbili shaking off the dust after Magufuli's visit Patient gets treatment ...


Muhimbili shaking off the dust after Magufuli's visit Patient gets treatment ...
IPPmedia
President John Magufuli's impromptu visit to the Muhimbili National Hospital (MNH) has prompted the hospital to pick its service delivery. To start with, a patient who had been admitted to the hospital but did not get treated for over a month due to a ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani