Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aifumua Ikulu

Magufuli+PHOTO*Aipanga upya kwa kupunguza ofisi, watendaji

*Afuta kitengo cha lishe cha rais, dawati la wageni

NA MWANDISHI WETU

RAIS John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.

Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka ndani ya Ikulu zimeeleza kuwa Rais Magufuli alianza kufanya ukaguzi wa ofisi moja baada ya nyingine zilizo Ikulu huku akitaka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aifumua Muhimbili

04-IMG_7712*Amng’oa mkurugenzi mkuu, avunja bodi

*Asononeshwa wagonjwa kulala chini

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS John Magufuli, amemng’oa Kaimu Mkurugenzi wa Hopitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussen Kindato pamoja na kuvunja bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo.

Hatua hiyo ameichukua jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, ambapo alipofika alikagua maeneo yote, kutembelea wodi na kushuhudia idadi kubwa ya wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda.

Taarifa...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli, Shein wakutana Ikulu

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein Ikulu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mazungumzo hayo jana, Rais Shein amesema lengo la mazungumzo hayo, ilikuwa kumpa taarifa Rais Magufuli, kuhusu hali ya mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea huko Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli, Seif wajifungia Ikulu

maa3Na Fredy Azzah, Dar es Salaam

WAKATI shinikizo la kimataifa juu ya hali ya Zanzibar likipamba moto, Rais Dk. John Magufuli, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo kwa saa 2.

Hali ya kisiasa ya Zanzibar, tayari inatajwa kuiathiri Tanzania kwa kusababisha ikose zaidi ya Sh trilioni 1 zilizokuwa zitolewe na Marekani, ikiwa ni sehemu ya fedha za msaada wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC).

Taarifa...

 

9 years ago

Habarileo

Rais Magufuli asafisha Ikulu, Feri

UHURU na Kazi ndivyo ilivyokuwa jana nchini kote katika maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru, ambapo Rais John Magufuli aliudhihirishia Watanzania na ulimwengu wote kwamba kwake ni kazi tu, kwa kuongoza wananchi na wavuvi wadogo kufanya usafi nje ya Ikulu ya Dar es Salaam na eneo la Feri, Magogoni.

 

9 years ago

Mwananchi

Zijue saa 72 za Dk Magufuli akiwa Ikulu

Baada ya Rais John Magufuli kuanza kwa kishindo maisha ya Ikulu kwa kutekeleza kauli mbiu yake ya “hapa kazi tu”, watu walioongea na gazeti hili wameonyesha kuridhishwa, lakini baadhi wakimpinga na wengine kumkosoa.

 

9 years ago

Daily News

CCM chair: Magufuli is the man for Ikulu


CCM chair: Magufuli is the man for Ikulu
Daily News
THE humble approach for the country's top office showed by CCM Union presidential candidate Dr John Magufuli is a sign that he would make a credible, hardworking and trustworthy Head of State if elected on October 25 this year. Mwanza CCM Regional ...

 

9 years ago

Mtanzania

Siendi ikulu kusaka utajiri — Magufuli

256 NA BAKARI KIMWANGA, KILIMANJARO

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema haombi nafasi ya urais kwa ajili ya kutafuta utajiri.

Akizungumza na wananchi katika mikutano yake ya kampeni iliyofanyika wilaya za Siha, Hai na Moshi mkoani Kilimanjaro jana, Dk. Magufuli alisema lengo lake ni kutaka kuleta mabadiliko ya kweli ya maendeleo kwa Watanzania.

Dk. Magufuli alisema suala la utajiri na kujilimbikizia mali, si utamaduni wake, na kama angeutaka,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli hatua chache kutua Ikulu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeendelea kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu na mpaka jana - Jum

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

MAMBO HAYA MAGUFULI ATAJIFUNZIA IKULU

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli. WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli ambaye atapeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, ndiye anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Jakaya Kikwete.
Uzoefu unaonesha kuwa mgombea anayesimama kwa tiketi ya CCM huwa katika nafasi nzuri ya kuibuka mshindi kutokana na historia, kwani wapiga kura wengi bado wana imani na chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani