Magufuli aifumua Ikulu
*Aipanga upya kwa kupunguza ofisi, watendaji
*Afuta kitengo cha lishe cha rais, dawati la wageni
NA MWANDISHI WETU
RAIS John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.
Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka ndani ya Ikulu zimeeleza kuwa Rais Magufuli alianza kufanya ukaguzi wa ofisi moja baada ya nyingine zilizo Ikulu huku akitaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Magufuli aifumua Muhimbili
*Amng’oa mkurugenzi mkuu, avunja bodi
*Asononeshwa wagonjwa kulala chini
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli, amemng’oa Kaimu Mkurugenzi wa Hopitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussen Kindato pamoja na kuvunja bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo.
Hatua hiyo ameichukua jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, ambapo alipofika alikagua maeneo yote, kutembelea wodi na kushuhudia idadi kubwa ya wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda.
Taarifa...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Magufuli, Shein wakutana Ikulu
RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein Ikulu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mazungumzo hayo jana, Rais Shein amesema lengo la mazungumzo hayo, ilikuwa kumpa taarifa Rais Magufuli, kuhusu hali ya mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea huko Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Magufuli, Seif wajifungia Ikulu
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI shinikizo la kimataifa juu ya hali ya Zanzibar likipamba moto, Rais Dk. John Magufuli, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo kwa saa 2.
Hali ya kisiasa ya Zanzibar, tayari inatajwa kuiathiri Tanzania kwa kusababisha ikose zaidi ya Sh trilioni 1 zilizokuwa zitolewe na Marekani, ikiwa ni sehemu ya fedha za msaada wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC).
Taarifa...
9 years ago
Habarileo10 Dec
Rais Magufuli asafisha Ikulu, Feri
UHURU na Kazi ndivyo ilivyokuwa jana nchini kote katika maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru, ambapo Rais John Magufuli aliudhihirishia Watanzania na ulimwengu wote kwamba kwake ni kazi tu, kwa kuongoza wananchi na wavuvi wadogo kufanya usafi nje ya Ikulu ya Dar es Salaam na eneo la Feri, Magogoni.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Zijue saa 72 za Dk Magufuli akiwa Ikulu
9 years ago
Daily News07 Sep
CCM chair: Magufuli is the man for Ikulu
Daily News
THE humble approach for the country's top office showed by CCM Union presidential candidate Dr John Magufuli is a sign that he would make a credible, hardworking and trustworthy Head of State if elected on October 25 this year. Mwanza CCM Regional ...
9 years ago
Mtanzania08 Oct
Siendi ikulu kusaka utajiri — Magufuli
NA BAKARI KIMWANGA, KILIMANJARO
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema haombi nafasi ya urais kwa ajili ya kutafuta utajiri.
Akizungumza na wananchi katika mikutano yake ya kampeni iliyofanyika wilaya za Siha, Hai na Moshi mkoani Kilimanjaro jana, Dk. Magufuli alisema lengo lake ni kutaka kuleta mabadiliko ya kweli ya maendeleo kwa Watanzania.
Dk. Magufuli alisema suala la utajiri na kujilimbikizia mali, si utamaduni wake, na kama angeutaka,...
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Magufuli hatua chache kutua Ikulu
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeendelea kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu na mpaka jana - Jum
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LbBzVeMmI0LuiEs5oEO2JeUn37IvzrcrY*ihbS*vnS3dJJYzYYg3nFgpdXwcR5LYR3Tv*vk8myRASSR5YBlatA/CJ42RToWwAAWefl.jpglarge.jpg?width=650)
MAMBO HAYA MAGUFULI ATAJIFUNZIA IKULU