Magufuli, Seif wajifungia Ikulu
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI shinikizo la kimataifa juu ya hali ya Zanzibar likipamba moto, Rais Dk. John Magufuli, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo kwa saa 2.
Hali ya kisiasa ya Zanzibar, tayari inatajwa kuiathiri Tanzania kwa kusababisha ikose zaidi ya Sh trilioni 1 zilizokuwa zitolewe na Marekani, ikiwa ni sehemu ya fedha za msaada wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC).
Taarifa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AMTEMBELEA RAIS MAGUFULI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wenye lengo kujihadhari dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyYXdfFv-FY/Xl4q_XswrAI/AAAAAAACz84/pRWS4MnV_tUWVS-_oS1x5Tf6DcaxgsMrgCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJtI_YB3r8s/VngXWSpnvfI/AAAAAAAINug/ik6b4hQbhbs/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MAALIM SEIF SHARIF HAMADI IKULU JIJINI DAR LEO
![maa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa1.jpg)
![maa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISonxCXB0P0/Xl4o_nXPn2I/AAAAAAALgpA/7EmgQnYa8mAjQs2byb_54H4zPTraWwCWwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9PF3XPue-E/Xl4o-qM69GI/AAAAAAALgo8/kkxWCa4YJBExnkVSGsvnu0jAUV8_aCrCgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-92K8JMcefKg/Xl6U9xSwDqI/AAAAAAACIEM/HKvm_4s0y_Mw9MYkY326f47Cc6p_jqDdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA KINA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD,PROF LIPUMBA NA MBATIA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-92K8JMcefKg/Xl6U9xSwDqI/AAAAAAACIEM/HKvm_4s0y_Mw9MYkY326f47Cc6p_jqDdwCLcBGAsYHQ/s320/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli amefanya mazungumzo na...
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
10 years ago
Mwananchi25 Jul
CUF wajifungia kutegua kitendawili cha Ukawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR