Rais Magufuli asafisha Ikulu, Feri
UHURU na Kazi ndivyo ilivyokuwa jana nchini kote katika maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru, ambapo Rais John Magufuli aliudhihirishia Watanzania na ulimwengu wote kwamba kwake ni kazi tu, kwa kuongoza wananchi na wavuvi wadogo kufanya usafi nje ya Ikulu ya Dar es Salaam na eneo la Feri, Magogoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
TPB yasafisha soko la Feri, yatoa vifaa vya usafi, ni katika kuunga mkono uamuzi wa Rais Magufuli wa Uhuru ni kazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-irAKTk09YTk/Vmf__FKcc4I/AAAAAAAAdLo/GMVNH4MgYBM/s640/b9.jpg)
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Henry Bwogi, akizibua chemba ya kupitisha maji taka kwenye zoni 3 ya soko la samaki la kimataifa Feri jijini Dar es Salaam Desemba 9, 2015. TPB imeungana na watanzania katika kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwataka wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika kwa kufanya usafi ili kutekeleza zana ya “Uhuru ni Kazi” badala ya kufanya sherehe na matamasha huku nchi ikakabiliwa na ugonjwa wa...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s1600/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI IKULU NA RAIS MSTAAFU KIKWETE JANA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BrUUwa8KEf0/XtfqZBFMsxI/AAAAAAALsiw/9oRG0TFti3gJZ5Vk92bjB07b4JTY6Us6ACLcBGAsYHQ/s72-c/f132b7f8-7047-4dc7-a7fa-e51c075d77fa.jpg)
Rais Magufuli akutana na Rais Shein, Mzee Mangula na Dkt. Bashiru, Ikulu Chamwino
![](https://1.bp.blogspot.com/-BrUUwa8KEf0/XtfqZBFMsxI/AAAAAAALsiw/9oRG0TFti3gJZ5Vk92bjB07b4JTY6Us6ACLcBGAsYHQ/s640/f132b7f8-7047-4dc7-a7fa-e51c075d77fa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5f01b2b2-546a-440f-b6d3-f380fd3735e4.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200603_164324.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA RAIS DK. SHEIN, MANGULA NA DK. BASHIRU ALLY, IKULU YA CHAMWINO, DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200603_164324.jpg)
Dk.CHAMW, Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli amekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein katika kikao cha ndani kilichofanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma, leo.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally ambapo viongozi hao wamezungumzia...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Rais Dkt. Magufuli, Waziri Mkuu Majaliwa, wamtembelea Makamu wa Rais, Mhe. Samia ofisini kwake Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) akizungumza na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, wakati Rais na Waziri Mkuu walipomtembelea Makamu Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 30, 2015 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (kushoto) akiagana na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1GqfSK_xj-0/VlxP2RRTkNI/AAAAAAAIJPw/QfGEuA69cQo/s72-c/2.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI, WAZIRI MKUU MAJALIWA, WAMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA OFISINI KWAKE IKULU JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1GqfSK_xj-0/VlxP2RRTkNI/AAAAAAAIJPw/QfGEuA69cQo/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlhlXeS-zzk/VlxPRGvqpDI/AAAAAAAIJPk/2X-2vMxHhu0/s640/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Eneo la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri Jijini Dar ni Hatari kwa Uchumi, Ikulu
Mwenyekiti wa Kamati ya Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Ali Kibwana, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wanaotembelea masoko mbalimbali ya Manispaa ya Ilala kuona jinsi gani vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia umepungua katika soko hilo baada ya Shirika la Equality for Growth (EfG) kutoa mafunzo ya kupinga ukatili katika masoko hayo. Kushoto ni Mwezeshaji wa Sheria katika soko hilo, Bakari Said.
Mwezeshaji wa Sheria katika soko hilo, Bakari Said akizungumza...
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)