Magufuli hatua chache kutua Ikulu
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeendelea kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu na mpaka jana - Jum
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J--Ie9aArjo/VDMIOcHt1aI/AAAAAAAGoYA/jvuyELAvduQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
9 years ago
Habarileo03 Dec
Balozi wa DRC asifu hatua za Magufuli
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambaye anamaliza muda wake, Juma-Alfani Mpango ambaye amesifia hatua za Rais John Magufuli anazochukua hivi sasa.
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo
Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.
Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.
Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Magufuli aifumua Ikulu
*Aipanga upya kwa kupunguza ofisi, watendaji
*Afuta kitengo cha lishe cha rais, dawati la wageni
NA MWANDISHI WETU
RAIS John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.
Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka ndani ya Ikulu zimeeleza kuwa Rais Magufuli alianza kufanya ukaguzi wa ofisi moja baada ya nyingine zilizo Ikulu huku akitaka...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Magufuli, Shein wakutana Ikulu
RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein Ikulu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mazungumzo hayo jana, Rais Shein amesema lengo la mazungumzo hayo, ilikuwa kumpa taarifa Rais Magufuli, kuhusu hali ya mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea huko Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Magufuli, Seif wajifungia Ikulu
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI shinikizo la kimataifa juu ya hali ya Zanzibar likipamba moto, Rais Dk. John Magufuli, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo kwa saa 2.
Hali ya kisiasa ya Zanzibar, tayari inatajwa kuiathiri Tanzania kwa kusababisha ikose zaidi ya Sh trilioni 1 zilizokuwa zitolewe na Marekani, ikiwa ni sehemu ya fedha za msaada wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC).
Taarifa...
9 years ago
Daily News07 Sep
CCM chair: Magufuli is the man for Ikulu
Daily News
THE humble approach for the country's top office showed by CCM Union presidential candidate Dr John Magufuli is a sign that he would make a credible, hardworking and trustworthy Head of State if elected on October 25 this year. Mwanza CCM Regional ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LbBzVeMmI0LuiEs5oEO2JeUn37IvzrcrY*ihbS*vnS3dJJYzYYg3nFgpdXwcR5LYR3Tv*vk8myRASSR5YBlatA/CJ42RToWwAAWefl.jpglarge.jpg?width=650)
MAMBO HAYA MAGUFULI ATAJIFUNZIA IKULU