Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli, mazito yaibuka
Chacha Makenge.
NA MWANDISHI WETU, Uwazi
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli na wiki iliyopita kudai amelazwa chini, Chacha Makenge, amesababisha mapya kuibuka.
Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, maofisa uhusiano wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi), Frank Matua na Patrick Mvungi kwa nyakati tofauti, walisema kuwa, mgonjwa huyo hakuwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli alazwa chini
Chacha Makenge akiwa amelazwa chini kwenye hospitali ya Muhimbili.
Chande Abdallah na Deogratius Mongela, UWAZI
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa aliyeibua ubovu wa mtambo ya CT Scan na mashine ya MRI kwa Rais John Pombe Magufuli, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, Chacha Makenge (pichani)amekutwa na Uwazi akiwa amelala sakafuni wodini.
Desemba 25, mwaka huu, Uwazi lilifika hospitalini hapo Jengo la Sewa Haji wodi namba 18 na kumshuhudia Chacha amelalia mashuka aliyoyatandika chini huku...
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Mitt Romney ; Gavana wa Marekani aliyetoa hotuba darasa kwa magufuli na Lowassa.
Na Michael Maurus kwa msaada wa mitandao
GAVANA wa 70 wa Marekani, Mitt Romney, aliwahi kutoa hotuba ya aina yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2012, ambayo hadi leo imebaki kuwa darasa tosha kwa wanaojitokeza kuwania uongozi.
Kwa hapa Tanzania, hotuba hiyo inaweza ikawa somo kwa wale wote waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kama John Maguli, Edward Lowassa, Anna Mghwira na wengineo wanaowania urais.
Wakati Magufuli akiwania nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi...
10 years ago
BBCSwahili06 May
Aliyetoa siri ya ngono CAR kurudi kazini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZus7nbVpWaK5kqLrdFwyXSkq0HPQsZ9yO4bCh8BNRsDfOLcuvFuQY*xs92QFF6COI3Lr--z9QkPflo8pYfluS-vW/Cralence.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mazito ya Chenge yaibuka
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu
Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7koZbp-RWfoF8nAj89c17pYm*aYlXYbw6Cinexxnw2dv4eeRycLi2aVB57GlECkACjAtj9EfCJQtJSOkYGCuT4N/JIDE.jpg)
NDOA YA JIDE, GARDNER MAZITO YAIBUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPtM5gG1ygTPqS6orxMNSSs-wOM*sC9FtneurWO8o0MxgCZBW0JeIJB7rVOw3QGQ3EpjqLNLLNmIFZu*b2TWjgH/MAZITO.gif?width=650)
MTOTO KUFIA MAHABUSU POLISI MAZITO YAIBUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDOZnkcZ8APgmjwCZZQIqFO1asZZwmf7Fe58fKgl*zvDt75weKTwZTJSnCAsPaI07HhdovvC7xWr9XNUgH6nwL84/mwanza.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM