Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM

Na Mashaka Baltazar, Mwanza
MAMBO mazito yameibuka baada ya kifo cha kigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Diwani wa Kata  ya Kisesa, Clement Mabina jijini Mwanza  kwa mwanasiasa mmoja kutajwa kuhusika na mauaji hayo, Risasi Mchanganyiko limeambiwa. Clement Mabina enzi za uhai wake. Habari zilizosambaa jijini hapa zinadai kwamba  mwanasiasa huyo (jina kapuni) andaiwa kuwagawia fedha baadhi ya wanakijiji waliohusika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIFO CHA FILIKUNJOMBE, MAPYA YAIBUKA

Na Waandishi Wetu NI mapya! Ni kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ludewa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Deogratius Haule Filikunjombe ‘Deo’ (43) kilichotokea Oktoba 15, mwaka huu kwenye Hifadhi ya Wanyama ya Selous kwa kuanguka na helikopta, mapya yameibuka, moja ikidaiwa kuwa, kumbe Deo aliruka kabla ya chombo hicho kufika chini....Soma zaidi====>http://bit.ly/1jy96SV ...

 

10 years ago

Vijimambo

KIFO CHA TAJIRI MAARUFU BUKOBA, DAKTARI AELEZA MAZITO

Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa wa GPL
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.

Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti,...

 

11 years ago

GPL

MAZITO YAIBUKA

Na Mwandishi Wetu
KAMA huna taarifa, habarika sasa kwamba, mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya bado haujazikwa huku mazito yakiibuka kuhusiana na msiba huo! Mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41)...

 

10 years ago

Mwananchi

Mazito ya Chenge yaibuka

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge ameibuliwa tuhuma nzito kwenye Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma baada ya kudaiwa kuwa aliishawishi kampuni ya Independent Power Solution Limited (IPTL) kuingia mkataba na Tanesco na baadaye kuwa mshauri wa kampuni hiyo binafsi iliyomuingizia Sh1.6 bilioni zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu



 Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA  wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
 Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA JIDE, GARDNER MAZITO YAIBUKA

Stori: WAANDISHI WETU Jambo limezua jambo! Nyuma ya habari ya madai ya kuvunjika kwa ndoa ya Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ na Mtangazaji wa Radio Times FM, Gardner G Habash, kuna mambo mazito yameibuka, mara baada ya habari hiyo kuripotiwa na gazeti pacha la hili, Ijumaa la wiki iliyopita. Uzio wa nyumba ya Staa, ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’Gardner G...

 

10 years ago

GPL

MTOTO KUFIA MAHABUSU POLISI MAZITO YAIBUKA

Denis Mtima na Gabriel Ng’osha
LILE sakata la mtoto wa miezi 6 (pichani) kufia mahabusu ya Kituo cha Polisi cha Kova, Mbezi Kwamsuguri, Dar linaendelea! Safari hii, mama wa mtoto huyo, Meradi Meshack  ameibua mazito akiwataja polisi jamii kuwa ndiyo chanzo cha kifo cha mwanaye. Mtoto Thomas wa miezi 6 aliyefia mahabusu ya Kituo cha Polisi cha Kova, Mbezi Kwamsuguri, Dar enzi za uhai wake. Awali ilibainika kuwa,...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli, mazito yaibuka

HANDAKI
Chacha Makenge.

NA MWANDISHI WETU, Uwazi
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli na wiki iliyopita kudai amelazwa chini, Chacha Makenge, amesababisha mapya kuibuka.

Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, maofisa uhusiano wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi), Frank Matua na Patrick Mvungi kwa nyakati tofauti, walisema kuwa, mgonjwa huyo hakuwa...

 

11 years ago

GPL

MAZITO 10 YAIBUKA: VIUNGO VYA BINADAMU KUNASWA DAR!

Lile sekeseke la viungo vya binadamu kukutwa kwenye dampo jijini Dar es Salaam limechukua sura mpya huku mambo mazito 10 yakiibuliwa na gazeti makini na lenye heshima kubwa, Amani.Wingu zito lenye viulizo vingi lilitanda Bunju B, Kinondoni jijini Dar, usiku wa Julai 21, mwaka huu baada ya watu kubainika kwa mifuko maalum ya Rambo ikiwa na viungo mbalimbali vya miili ya binadamu vikiwa vimekauka. Kamanda wa Polisi, Kanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani