KIFO CHA TAJIRI MAARUFU BUKOBA, DAKTARI AELEZA MAZITO
Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa wa GPL
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.
Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDOZnkcZ8APgmjwCZZQIqFO1asZZwmf7Fe58fKgl*zvDt75weKTwZTJSnCAsPaI07HhdovvC7xWr9XNUgH6nwL84/mwanza.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WQJXWKZcHjE2z*hoi5eGA3lo9mwVBFBstZB8vcfbY6jm*ijhWBtIy8I0DSfv7jCi*72IjJqTmNITYuDNeD164J/1.jpg)
KIFO CHA MWANASIASA MAARUFU; KUMBE SIYO KOMBA
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Uchambuzi wa daktari: Kilichochangia kifo cha Nasra hiki hapa
11 years ago
Mwananchi09 May
Daktari aeleza alivyougua homa ya dengue
11 years ago
BBCSwahili24 May
Tajiri ahukumiwa kifo nchini China
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
9 years ago
Bongo504 Jan
Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo
![Faiza Ally](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Faiza-Ally-300x194.jpg)
Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.
Faiza Ally akiwa mwenye machozi
Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location
Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.
“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...