Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIFO CHA TAJIRI MAARUFU BUKOBA, DAKTARI AELEZA MAZITO

Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa wa GPL
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.

Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM

Na Mashaka Baltazar, Mwanza
MAMBO mazito yameibuka baada ya kifo cha kigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Diwani wa Kata  ya Kisesa, Clement Mabina jijini Mwanza  kwa mwanasiasa mmoja kutajwa kuhusika na mauaji hayo, Risasi Mchanganyiko limeambiwa. Clement Mabina enzi za uhai wake. Habari zilizosambaa jijini hapa zinadai kwamba  mwanasiasa huyo (jina kapuni) andaiwa kuwagawia fedha baadhi ya wanakijiji waliohusika...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWANASIASA MAARUFU; KUMBE SIYO KOMBA

Stori:GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAH/Risasi
HUKU maelfu ya Watanzania wakiamini kwamba, kifo cha aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni John Damiano Komba ndiyo kile kilichotabiriwa na mnajimu Maalim Hassan Hussein Yahya, mwenyewe ameibuka na kusema sicho! Marehemu Kapteni John Damiano Komba.…

 

11 years ago

Mwananchi

Uchambuzi wa daktari: Kilichochangia kifo cha Nasra hiki hapa

Wiki hii tumempoteza mtoto, Nasra Mvungi (4) aliyekuwa amefichwa katika boksi kwa miaka minne mjini Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Daktari aeleza alivyougua homa ya dengue

>Daktari wa Hospitali ya Mwananyamala, Saleh Kijangwa amejitokeza na kueleza jinsi alivyougua homa ya dengue ambayo imeukumba Mkoa wa Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tajiri ahukumiwa kifo nchini China

Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

10 years ago

Michuzi

NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.

Na   Bashir   Yakub.
Wako  watu  wengi  wameathirika  kutokana  na  matendo  yanayotokana  na  uzembe,kutojali  au  makusudi ya madaktari. Wapo  waliopata  vilema    vya muda  kutokana  na  uzembe  huo,  wapo  waliopata  vilema  vya  maisha  na  wapo  waliouliwa  na  madaktari hawa hawa.  
 Ajabu  ni kuwa  ukifanya  tathmini  ya  haraka  utaona kuwa    watu  wote waliopata  madhila    kutoka  kwa  madaktari  huhusisha  madaktari  wa serikali  na  katika  hospitali  za  serikali.  Si...

 

9 years ago

Bongo5

Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo

Faiza Ally

Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.

Faiza Ally
Faiza Ally akiwa mwenye machozi

Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location

Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.

“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani