NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
Na Bashir Yakub.
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Daktari aliyesababisha vifo akamatwa
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8DGVNusdVcBOQQzYxqfPFUd9KH0PzsTOSwWOj01nm1wiUx27WLGuZ5EBJdU8OzcZvPo4Xr-Oqs5ElzCO-4oBpx/dkgupta.jpg?width=450)
DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7a-qy-7*oMkNTXRiqijA3LR-sEhj0Fv*aH10EtsFPeRZENGgUy63GHax-JObGdEel9DaB4-xuG8FxDnfaX11h9/FRONT.jpg?width=650)
DAKTARI, MGONJWA...
10 years ago
Habarileo23 Nov
Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi
MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.
10 years ago
Bongo Movies18 Mar
Daktari wa Saikologia: Shilole Mgonjwa!
Daktari bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake.
Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana mara kwa mara na mpenzi wake, Nuh Mziwanda, kama zinaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia linalomsumbua mmoja wao au ni ugomvi wa kawaida wa kimapenzi.
“Mtu yeyote aliyepitia...
10 years ago
Vijimambo15 Nov
Daktari aliyembusu mgonjwa wake asakwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/gambo-nov15-2014.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Lucas Mweri, kumchukulia hatua daktari anayetuhumiwa kumbusu mgonjwa wake wakati akimtibu.
Gambo alitoa agizo hilo jana baada ya kupokea malalamiko ya tukio hilo na kueleza kuwa ni la ukiukwaji wa maadili ya kidaktari na aibu kwa wilaya.
Aliliagiza jeshi la polisi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
NYANZA: Uzembe wa daktari wasababisha mgonjwa alipwe Sh25 milioni