Daktari wa Saikologia: Shilole Mgonjwa!
Daktari bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake.
Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana mara kwa mara na mpenzi wake, Nuh Mziwanda, kama zinaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia linalomsumbua mmoja wao au ni ugomvi wa kawaida wa kimapenzi.
“Mtu yeyote aliyepitia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7a-qy-7*oMkNTXRiqijA3LR-sEhj0Fv*aH10EtsFPeRZENGgUy63GHax-JObGdEel9DaB4-xuG8FxDnfaX11h9/FRONT.jpg?width=650)
DAKTARI, MGONJWA...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola
10 years ago
Vijimambo15 Nov
Daktari aliyembusu mgonjwa wake asakwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/gambo-nov15-2014.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Lucas Mweri, kumchukulia hatua daktari anayetuhumiwa kumbusu mgonjwa wake wakati akimtibu.
Gambo alitoa agizo hilo jana baada ya kupokea malalamiko ya tukio hilo na kueleza kuwa ni la ukiukwaji wa maadili ya kidaktari na aibu kwa wilaya.
Aliliagiza jeshi la polisi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
NYANZA: Uzembe wa daktari wasababisha mgonjwa alipwe Sh25 milioni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ac1Hvvp0p2wu4ppXTNzWJQ1kxhg*z0cRkF3LhSYlcprFIlgvajW9tma7q8P-GMfwv86A6kDprWAl2U8-soqeG-T/a.jpg?width=650)
DOKTA: SHILOLE MGONJWA!
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)