Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola
Kaimu mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Yusuph Bwire amesema matokeo ya uchunguzi wa sampuli yaliyotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yanaonyesha kwamba Salome Richard hakufariki dunia kwa ugonjwa wa ebola bali kwa tatizo la ini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7a-qy-7*oMkNTXRiqijA3LR-sEhj0Fv*aH10EtsFPeRZENGgUy63GHax-JObGdEel9DaB4-xuG8FxDnfaX11h9/FRONT.jpg?width=650)
DAKTARI, MGONJWA...
10 years ago
Bongo Movies18 Mar
Daktari wa Saikologia: Shilole Mgonjwa!
Daktari bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake.
Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana mara kwa mara na mpenzi wake, Nuh Mziwanda, kama zinaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia linalomsumbua mmoja wao au ni ugomvi wa kawaida wa kimapenzi.
“Mtu yeyote aliyepitia...
10 years ago
Vijimambo15 Nov
Daktari aliyembusu mgonjwa wake asakwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/gambo-nov15-2014.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Lucas Mweri, kumchukulia hatua daktari anayetuhumiwa kumbusu mgonjwa wake wakati akimtibu.
Gambo alitoa agizo hilo jana baada ya kupokea malalamiko ya tukio hilo na kueleza kuwa ni la ukiukwaji wa maadili ya kidaktari na aibu kwa wilaya.
Aliliagiza jeshi la polisi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
NYANZA: Uzembe wa daktari wasababisha mgonjwa alipwe Sh25 milioni
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani
10 years ago
Vijimambo09 Oct
MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008162619_mgonjwa_us_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.
Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
Mgonjwa wa ebola azua taharuki
NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Freetown:Mgonjwa wa Ebola afariki