Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola

Kaimu mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Yusuph Bwire amesema matokeo ya uchunguzi wa sampuli yaliyotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yanaonyesha kwamba Salome Richard hakufariki dunia kwa ugonjwa wa ebola bali kwa tatizo la ini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.

Na   Bashir   Yakub.
Wako  watu  wengi  wameathirika  kutokana  na  matendo  yanayotokana  na  uzembe,kutojali  au  makusudi ya madaktari. Wapo  waliopata  vilema    vya muda  kutokana  na  uzembe  huo,  wapo  waliopata  vilema  vya  maisha  na  wapo  waliouliwa  na  madaktari hawa hawa.  
 Ajabu  ni kuwa  ukifanya  tathmini  ya  haraka  utaona kuwa    watu  wote waliopata  madhila    kutoka  kwa  madaktari  huhusisha  madaktari  wa serikali  na  katika  hospitali  za  serikali.  Si...

 

11 years ago

GPL

DAKTARI, MGONJWA...

Stori: Waandishi Wetu AMA kweli majanga yakimkuta binadamu hayapigi hodi! Daktari wa meno aliyejulikana kwa jina la Dokta Ngariba (54), amejikuta ndani ya janga la tuhuma za ngono baada ya wapiga picha wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kunasa sakata lake na mwanamke aliyedai ni mgonjwa wa jino aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamida (20). Dokta Ngariba akijitetea. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 9, mwaka huu ndani ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Daktari wa Saikologia: Shilole Mgonjwa!

Daktari bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake.

Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana mara kwa mara na mpenzi wake, Nuh Mziwanda, kama zinaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia linalomsumbua mmoja wao au ni ugomvi wa kawaida wa kimapenzi.

“Mtu yeyote aliyepitia...

 

10 years ago

Vijimambo

Daktari aliyembusu mgonjwa wake asakwa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Lucas Mweri, kumchukulia hatua daktari anayetuhumiwa kumbusu mgonjwa wake wakati akimtibu.

Gambo alitoa agizo hilo jana baada ya kupokea malalamiko ya tukio hilo na kueleza kuwa ni la ukiukwaji wa maadili ya kidaktari na aibu kwa wilaya.

Aliliagiza jeshi la polisi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Uzembe wa daktari wasababisha mgonjwa alipwe Sh25 milioni

>Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, kuwalipa fidia ya Sh25 milioni Mwamini Adam na mumewe Idrisa Jafari kutokana na madhara waliyopata baada ya uzembe uliofanywa na daktari wa Hospitali ya wilaya hiyo alipokuwa akimfanyia upasuaji Mwamini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani

Hospitali moja mjini Frankfurt Ujerumani inamtibu mgonjwa wa Ebola baada ya kufikishwa nchini humo nyakati za usiku chini ya ulinzi mkali.

 

10 years ago

Vijimambo

MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI

Mtu wa kwanza kupatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani amefariki ,hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa afya katika hospitali ya Texas.

Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.

Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mgonjwa wa ebola azua taharuki


NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi,  Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo  mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Freetown:Mgonjwa wa Ebola afariki

Maafisa wa afya nchini Sierra leone wamethibitisha kwamba mgonjwa mmoja wa Ebola aliyetoroka hospitalini mjini Freetown amefariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani