Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Freetown:Mgonjwa wa Ebola afariki

Maafisa wa afya nchini Sierra leone wamethibitisha kwamba mgonjwa mmoja wa Ebola aliyetoroka hospitalini mjini Freetown amefariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI

Mtu wa kwanza kupatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani amefariki ,hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa afya katika hospitali ya Texas.

Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.

Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Mgonjwa wa kwanza wa Ebola afariki

Mtu wa kwanza kupatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani amefariki ,kulingana na maafisa wa hospitali ya Texas

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yaibuka mjini Freetown

Maofisa wa afya nchini Sierra Leone wamesema kwamba kuna wagonjwa wawili wapya wanaougua ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Inside Freetown Ebola response centre

British doctor Stacey Mearns has spent the last week working in Connaught hospital's emergency Ebola response centre in Freetown, Sierra Leone.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

10 years ago

StarTV

Mgonjwa wa Ebola agundulika Marekani.

Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa huko katika hospitali ya ya mjini Newyork.
Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.
Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani

Hospitali moja mjini Frankfurt Ujerumani inamtibu mgonjwa wa Ebola baada ya kufikishwa nchini humo nyakati za usiku chini ya ulinzi mkali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa wa Ebola agundulika Newyork

Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani